Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Kumbe huna unalojua. Punguza hisia.

Unaonekana una below IQ, nchi zilizoendelea uzalendo namba moja, najua upo upande wa pili lakini appreciate pale mazuri yanafanyika.

TENA: kesho STRABAG wanaendelea na kazi kwa kuwa serikali imewalipa deni lao. Chukia tena nione.
 
Unaonekana una below IQ, nchi zilizoendelea uzalendo namba moja, najua upo upande wa pili lakini appreciate pale mazuri yanafanyika.

TENA: kesho STRABAG wanaendelea na kazi kwa kuwa serikali imewalipa deni lao. Chukia tena nione.


Hivi kumbe walisitisha ujenzi kisa wanaidai serikali? Na kwa nini serikali isubiri hadi watu waache kazi ndio iwalipe? Tushachoka kusubiri hiyo DART iishe, baadhi ya miundombinu yake imeshaanza kuharibika hata kabla ya mradi kuisha..
 
unnamed%2B%2836%29.jpg


Kivuko cha mwendo wa kasi cha kusafirisha abiria toka Dar es Salaam kwenda Bagamoyo kilichonunuliwa hivi karibuni kiko wapi?
 
Huyu ndo mwanasiasa pekee Tanzania anayekubalika na wapigakura toka pande zote (chama tawala na upinzani)...hii yote ni sababu ya utendaji wake uliotukuka!
 
Toa pongezi kwa wanachama wa nssf sio jk... Acheni unafiki!

Big up kwa wanachama wote wa nssf na Dr Dau kwa kuhakikisha hela zinawafikia wakandarasi
Yan umeua kabisa bila wafanyakazi NSSF hakuna daraja serikali hakuna kukopa fedha za mishahara big up wafanyakazi mnaoteseka na mifuko yenu inatumika nyie mkilipwa Tshs 100,000/=
 
Tuache unafiki hii wizara ya jamaa ndo inayoonekana kupiga kazi kuliko zote hapa bongo

Mkuu hii wizara ovyo tu, jaribu kukumbuka mafuriko Dar, lawama zote ni kwa wizara hiyo, angalia barabara substandard ziko ngapi, angalia watu wangapi wanaishi kwenye nyumnba zenye X kwa miaka hata 10. Sioni kama anafanya kazi kuliko wengine, ni kama wengine tu.
 
Mkuu hii wizara ovyo tu, jaribu kukumbuka mafuriko Dar, lawama zote ni kwa wizara hiyo, angalia barabara substandard ziko ngapi, angalia watu wangapi wanaishi kwenye nyumnba zenye X kwa miaka hata 10. Sioni kama anafanya kazi kuliko wengine, ni kama wengine tu.

Hoja yako ni nyepesi sana kujibiwa kibaya imesambaa hovyo hovyo!
 
Kuna watu wengine ara uwezo wa kugoogle hawawezi.Wao ni kukariri tu.

CIG aliishatoa maelezo vizuri juu ya Billion 512,na akamalizia kwa kuipongeza wizara kuwa inafanya kazi kwa kiwango cha kitukuka.

mkuu hii CIG unamaanisha Control Inteligent Gugo ama?! ila hauko peke yako hata vc wa udom mzee kikula nssf anaisomaga enisisief
 
Moja ya watu wazalendo kiasi huyu yupo sawa, namuona nimtu asiependa majineno ya kipuzipuzi safi sana
 
Wapinga maendeleo utawajua tu li chama lao lina miaka 23 toka limenzishwa lakini hata kibanda cha ofisi hakuna kweli nyani halioni kundule.
 
Ukweli Magufuri anastahili uraisi w nchi hii. Mungu akupe uhai na upate urais october 2015.
 
Big up magufuli. wewe ni jembe, i wish ungekuwa waziri mkuu.
Kwa Katiba hii ya sasa iliyochoka na ile inayopandikizwa na CCM, waziri mkuu ni mesenja tu wa Rais. Hawezi kufanya cho chote kinachopingana na maamuzi na mtazamo wa Rais. Rais akiwa dhaifu na waziri mkuu wake atakuwa dhaifu (refer kwa utawala unaomaliza muda wake). Rais akiwa msanii, na waziri mkuu anakuwa msanii, Rais akiwa na mtazamo wa ombaomba, na lugha ya Waziri Mkuu inaelekezwa huko huko. Hatuna namna yo yote ile ya kumfanya Waziri mkuu atumie akilia yake au uwezo wake labda kama tunakubali KUBADILISHA KATIBA na kuwa KATIBA YA WANANCHI (toleo la Mzee Warioba). Kwa hiyo kama unalishabikia jembe lako ni bora ulipiganie liwe rais au upiganie Katiba ya Wananchi ili jembe lako likiwa waziri mkuu liweze kung'oa visiki!!
 
Back
Top Bottom