Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #21
Mdogo mdogo Matola nimeshaimaliziaMshana huu ni uhuni unatuletea, kama ulikuwa hujakamalisha makala yako hukuwa na sababu ya kuipost hapa JF, NAKEMEA UTARATIBU WA NAMNA HII, UKIWA NA STORY IKAMILISHE KWANZA TYPE KWENYE MS WORD. then ikikamilika hamishia hapa, kama haijakamilika baki nayo kwenye device yako.