Basi anaweza kuwa perfect matchNinachofahamu ni alisoma Moshi Tech kipindi hiko kisha kusoma FTC pale DIT then degree UDSM.
Chamuriho alikuja kuwa lecturer katika Department ya Structural engineering pale Udsm Coet, Kabla ya kuja kuwa Permanent Secretary wa Wizara ya Ujenzi.
I'm Honoured nilikuwa naye Mlimani August 2020 tukabadilishana mawili matatu.
Shortly: Anapenda sana Shule.
Sasa ni zamu yake kunyolewa kipara, awe mpole tuNi muhimu kusimamia haki, yule mama alifurahi kabisa tukiporwa ushindi na aliona haki ikipokwa. Kwa kejeli alitutamkia kuwa hata tukipiga kura kule ni sawa na kumwaga sukari Ziwa Victoria, wao ndiyo wataunda serikali.
Sasa serikali iliyoundwa bila haki inataka kumpoka haki yake.
Saturation ya Oxygen kwenye mwili.Inatakiwa iwe 95%mpaka 100%.Chini ya hapo ni hatari.SPO298% ndio nini!?
Daah pole sana Mkuu. Halafu pembeni unasikia mtu anasema eti Tanzania hakuna Corona. Ikabatizwa Pneumonia. Yaani Covid 19 attack unalinganisha na normal Pneumonia? Hapa ndiyo wengi waliangamia.Ulichosema ni kweli mkuu..mie iliniaafect kbs brain..nilikua nawaza kwa muda mrefu mno ndo nijibu..kifupi mm.nilikua nawehuka kbs sasa sipatii picha yeye
Mie leo nna15dys .lakini mbav bado zinabana..na nna dawa za mwez mzima..inachosha balaaDaah pole sana Mkuu. Halafu pembeni unasikia mtu anasema eti Tanzania hakuna Corona. Ikabatizwa Pneumonia. Yaani Covid 19 attack unalinganisha na normal Pneumonia? Hapa ndiyo wengi waliangamia.
Pole sanaMie leo nna15dys .lakini mbav bado zinabana..na nna dawa za mwez mzima..inachosha balaa
😂😂😂Basi anaweza kuwa perfect match
Sasa ni zamu yake kunyolewa kipara, awe mpole tu
Position aliyopata inalipa..Kaacha paper yake angekua Professor, kaitupiria mbali
Yeah Yeah.. Miaka hiyo Alinifundisha Maswala ya Engineering Economics na Project appraisal kabla ya kuja kumwachia Prof. Lema!Ni Engineer mzuri sana. Waziri sasa. Kafundisha FOE (CoET) kwa muda mrefu.
Mkuu hapo sasa unatupiga kambaKuna utafiti unaendelea kuhusu athari za corona kwa wale ambao hawakufariki. Kuna baadhi ni maselule kabisa wameshindwa hata kurudi makazini au kwenye biashara zao pamoja na kuwa wengine waliipata miezi mingi iliyopita. Na picha za MRI za brain zinaonyesha brain 🧠 yao iko abnormal.
AfadhaliJamaa yupo feet kabisa. SPO2 98%,.Kamegoma kufa.
Pole mwaya, Yesu Yesu azidi kukutunza kwa mkono wakeMie leo nna15dys .lakini mbav bado zinabana..na nna dawa za mwez mzima..inachosha balaa
Myabusi uliingizwa chaka na wahuni..!!!Haya mambo bora ukae tu kimya usome na kuangalia
Mkuu hapo sasa unatupiga kamba
Hujawahi kuandika chochote cha kweli zaidi ya upumbavu tuUnadhani mimi huwa nakurupuka na kuja kuandika ujinga humu? [emoji15][emoji15][emoji15] JIONGEZE!