Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Kwa hiyo hapa una confirm hiyo idara ni "Toothless dog " sasa kuna maana gani ya kuwepo kwa idara hiyo ? .

Ndio maana kunatakiwa kufanyike mageuzi ya hiyo idara ili kuendana na wakati uliopo badala ya kuishi enzi za cold war

Nafahamu hawana mandate ya kutekeleza zaidi ya kumshauri "SPONSOR"

Sasa watu wanapotoa mapendekezo ya kimageuzi mnaishia kuwatisha oh wakikutaka wanakupata sasa hivi ,Mleta mada zaidi ya kushauri amefanya kipi ambacho kinahatarisha national security mpaka idara i-mobilize resources kumtafuta ?

Kama wewe ndio aina ya watu waliopo kwenye hiyo idara hapo tumelamba garasa

Kwa kweli kwa akili kama za huyo jamaa na kama huko idara kweli kabisa tumelamba sio garasa tu bali Jockel na Mchezo ukaisha hapo..
 
Inawezekana walijua wakaamua kukaa kimya kila Mr haambiliki huu mwaka wake
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Kwa mtazamo wangu mimi sidhani kama Kapilimba ana shida au shida na matatizo ndani ya TISS yameanzi kwa ndugu yangu Kapilimba. LAHASHA...shida hii ilianza mwaka 2008 pale ambapo ilianzishwa recrutment directory ya vijana wa kuingia TISS. Vijana wengi walikuwa wakifuatwa vyuoni na makazi kisha kupewa training kidogo kisha majukumu huku directory ikidhani kuwa kwa vile ni wasomi wanaelewa.

Kabla ya hapo kulikuwa na random selection ma DSO na RSO na wengine walikuwa wanapita mashuleni (sekondari) wanaongea na waalimu, wanaewa vijana ambao aminika toka chini na si mashuleni tu hata makazini, pia walitumia taasisi za dini kama makanisa na misikiti kuwatafutia watu waaminifu, wasiri na wachapa kazi na walitumika wangali katika nafasi zao zile zile.
Nadhani baada ya uwepo wa directory hii hayo hayakuzingatiwa na walichakuliwa walitazamwa kwa juu juu sana ndo mana haya yanatokea.

kuna mifimo mingi sana imevurugwa hapa katikati tukiirudia tutakuwa salama
 
Yaani muandamanaji mmoja amebeba bango eti Nyie Wasauzi tuliwasaidia kuwashinda makaburu duh!

Sasa ina maana kama uliisaidia nchi kupata uhuru ndo uingilie utaratibu wake wa kujiendesha kama taifa huru?
Na kwa vile maneno hayo yamesemwasemwa na Rais hata PM pale Mazimbu mbele ya Ramaphosa na hata Kabudi amekuwa akiyarejea basi wenye akili kule SA na nchi zingine wanajuwa wazi maandamano yalikuwa yameandaliwa na serikali
 
Kibaya zaidi wanadhani wanajua recruitment and grooming ya watu wa idara inafanyika vipi.

Huenda wamekaririshwa na watu waliopitia idara zamani. Kwani hawaoni mabadiliko ya recruitment process hata idara za kawaida za serikali haipo kama zamani?

Kama kuajiri mtu wa kada za kawaida kumeboreshwa sasa serikali au idara ya usalama wa taifa itakuwa wazembe kiasi gani kutofanya mabadiliko na kuendelea kutumia njia za zamani zisizo bora na kisasa?

Ina maana huko idarani na serikali kuna watu wasiojua kitu au hawana akili na yeye huku mtaani ndio ana akili nyingi sana kuliko wote waliopo serikalini?

Anataka waje hapa kutoa ufafanuzi jinsi wanavyo ajiri, walivyo chukua hatua mbalimbali kwenye matukio tofauti? Sasa hiyo itakuwa idara ya usalama wa taifa au kitengo cha uenezi cha chama au cha serikali?!!!

Tuwaache hawa watu wafanye kazi zao na tushukuru kwa kazi zao tunapata muda wa kutafuta pesa ya bundle na kuwatukana mitandaoni.
Hahaha

Nahisi lengo lake kuwe na idara ya uenezi kama chama cha siasa wakati ni nadra. Taasisi ipo imara sana
 
Kwa mtazamo wangu mimi sidhani kama Kapilimba ana shida au shida na matatizo ndani ya TISS yameanzi kwa ndugu yangu Kapilimba. LAHASHA...shida hii ilianza mwaka 2008 pale ambapo ilianzishwa recrutment directory ya vijana wa kuingia TISS. Vijana wengi walikuwa wakifuatwa vyuoni na makazi kisha kupewa training kidogo kisha majukumu huku directory ikidhani kuwa kwa vile ni wasomi wanaelewa.

Kabla ya hapo kulikuwa na random selection ma DSO na RSO na wengine walikuwa wanapita mashuleni (sekondari) wanaongea na waalimu, wanaewa vijana ambao aminika toka chini na si mashuleni tu hata makazini, pia walitumia taasisi za dini kama makanisa na misikiti kuwatafutia watu waaminifu, wasiri na wachapa kazi na walitumika wangali katika nafasi zao zile zile.
Nadhani baada ya uwepo wa directory hii hayo hayakuzingatiwa na walichakuliwa walitazamwa kwa juu juu sana ndo mana haya yanatokea.

kuna mifimo mingi sana imevurugwa hapa katikati tukiirudia tutakuwa salama
Je hao ambao walichukuliwa kimakosa makosa waondolewe kazini?
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Wakimkia wakamteka wakampoteza kabsa then??????
 
Kwa mtazamo wangu mimi sidhani kama Kapilimba ana shida au shida na matatizo ndani ya TISS yameanzi kwa ndugu yangu Kapilimba. LAHASHA...shida hii ilianza mwaka 2008 pale ambapo ilianzishwa recrutment directory ya vijana wa kuingia TISS. Vijana wengi walikuwa wakifuatwa vyuoni na makazi kisha kupewa training kidogo kisha majukumu huku directory ikidhani kuwa kwa vile ni wasomi wanaelewa.

Kabla ya hapo kulikuwa na random selection ma DSO na RSO na wengine walikuwa wanapita mashuleni (sekondari) wanaongea na waalimu, wanaewa vijana ambao aminika toka chini na si mashuleni tu hata makazini, pia walitumia taasisi za dini kama makanisa na misikiti kuwatafutia watu waaminifu, wasiri na wachapa kazi na walitumika wangali katika nafasi zao zile zile.
Nadhani baada ya uwepo wa directory hii hayo hayakuzingatiwa na walichakuliwa walitazamwa kwa juu juu sana ndo mana haya yanatokea.

kuna mifimo mingi sana imevurugwa hapa katikati tukiirudia tutakuwa salama
Mkuu huo mfumo wa zamani wakutumia RSO na DSO ndio ulikuja kusababisha makada wa CCM na watoto wa vigogo kuwa recruited idarani kwa wingi bila kujali vigezo muhimu au uwezo wao kiakili, kitabia(usiri) na kimwili.

Na hao makada na watoto wa vigogo walikuwa watumishi wa idara upande moja na upande wa pili ni watumishi wa makundi ya kimtandao ndani ya CCM na wengine baadhi wanatumikia vyama vingine vya kisiasa au makundi ya kiimani ya kidini.

Hii ndio ikazalisha balaa kubwa la kuvuja siri za serikali ovyo hata kwa barmaids na wauza maandazi wanafungia wateja maandazi kwa kutumia classified documents(i.e. zilikuwa zinachapwa magazetini na akina Kubenea kisha magazeti yanatumika kama vifungashio).

Baada ya awamu ya 5 kushika dola kuna mabadiliko makubwa mno yanaendelea. Tena ya kuendana na kasi ya teknolojia na siasa za kiriberali au utandawazi.
Hiyo Directory uliyosema ilianzishwa 2008 ni ktk kujaribu kutoka ktk matatizo niliyosema.
 
Kwa mtazamo wangu mimi sidhani kama Kapilimba ana shida au shida na matatizo ndani ya TISS yameanzi kwa ndugu yangu Kapilimba. LAHASHA...shida hii ilianza mwaka 2008 pale ambapo ilianzishwa recrutment directory ya vijana wa kuingia TISS. Vijana wengi walikuwa wakifuatwa vyuoni na makazi kisha kupewa training kidogo kisha majukumu huku directory ikidhani kuwa kwa vile ni wasomi wanaelewa.

Kabla ya hapo kulikuwa na random selection ma DSO na RSO na wengine walikuwa wanapita mashuleni (sekondari) wanaongea na waalimu, wanaewa vijana ambao aminika toka chini na si mashuleni tu hata makazini, pia walitumia taasisi za dini kama makanisa na misikiti kuwatafutia watu waaminifu, wasiri na wachapa kazi na walitumika wangali katika nafasi zao zile zile.
Nadhani baada ya uwepo wa directory hii hayo hayakuzingatiwa na walichakuliwa walitazamwa kwa juu juu sana ndo mana haya yanatokea.

kuna mifimo mingi sana imevurugwa hapa katikati tukiirudia tutakuwa salama
.....
.....salute mingi sana MKUU
 
Mkuu huo mfumo wa zamani wakutumia RSO na DSO ndio ulikuja kusababisha makada wa CCM na watoto wa vigogo kuwa recruited idarani kwa wingi bila kujali vigezo muhimu au uwezo wao kiakili, kitabia(usiri) na kimwili.

Na hao makada na watoto wa vigogo walikuwa watumishi wa idara upande moja na upande wa pili ni watumishi wa makundi ya kimtandao ndani ya CCM na wengine baadhi wanatumikia vyama vingine vya kisiasa au makundi ya kiimani ya kidini.

Hii ndio ikazalisha balaa kubwa la kuvuja siri za serikali ovyo hata kwa barmaids na wauza maandazi wanafungia wateja maandazi kwa kutumia classified documents(i.e. zilikuwa zinachapwa magazetini na akina Kubenea kisha magazeti yanatumika kama vifungashio).

Baada ya awamu ya 5 kushika dola kuna mabadiliko makubwa mno yanaendelea. Tena ya kuendana na kasi ya teknolojia na siasa za kiriberali au utandawazi.
Hiyo Directory uliyosema ilianzishwa 2008 ni ktk kujaribu kutoka ktk matatizo niliyosema.
Huu mfumo wa directory pia umepelekea baadhi ya wanausalama kuwaingiza marafiki zao wengi ambao walikuwa wote kwenye discussion, hawaangalii tabia ya mtu husika ni kwamba kama ulibahatika kuwa rafiki wa mmoja wa wanausalama basi anapeleka majina moja kwa moja.

Hili nimelishuhudia sana.
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
Hivi kuna TISS ilikuwa mbovu kushinda ya awamu iliyopita?? wizi wote huo kuanzia kagoda mpaka escrow..tena hapa hapa ndani, Dr. Kipilimba amerithi TISS mbovu huwezi mlaumu kwa yanayotokea sasa.
 
Kwa mtazamo wangu mimi sidhani kama Kapilimba ana shida au shida na matatizo ndani ya TISS yameanzi kwa ndugu yangu Kapilimba. LAHASHA...shida hii ilianza mwaka 2008 pale ambapo ilianzishwa recrutment directory ya vijana wa kuingia TISS. Vijana wengi walikuwa wakifuatwa vyuoni na makazi kisha kupewa training kidogo kisha majukumu huku directory ikidhani kuwa kwa vile ni wasomi wanaelewa.

Kabla ya hapo kulikuwa na random selection ma DSO na RSO na wengine walikuwa wanapita mashuleni (sekondari) wanaongea na waalimu, wanaewa vijana ambao aminika toka chini na si mashuleni tu hata makazini, pia walitumia taasisi za dini kama makanisa na misikiti kuwatafutia watu waaminifu, wasiri na wachapa kazi na walitumika wangali katika nafasi zao zile zile.
Nadhani baada ya uwepo wa directory hii hayo hayakuzingatiwa na walichakuliwa walitazamwa kwa juu juu sana ndo mana haya yanatokea.

kuna mifimo mingi sana imevurugwa hapa katikati tukiirudia tutakuwa salama

Hapo ndipo walipokosea.

Ingawa makuruta huchukuliwa tangu vyuoni, makazini na sehemu zingine ulizotaja, bado ile misingi ya kumpata mtu sahihi ilianza kuvunjwa.

Tulianza kuiga wenzetu waloendelea ambao hata kama wanachagua watu kutoka vyuoni lakini wale watu wanakuwa wamepita mafunzo maalum kama kile cha Mbweni.

Tatizo ni aina ya mtu unaemchagua ambapo ukianza kuingiza undugu na kujuana ndipo matatizo yanaanza hapo.

Unafahamu, hata ukipata kijana aleiva kisawasawa na ukamtuma afanye espionage nchi fulani na akatoa taarifa za kutaka kuizuia ndege kule Jo'burg, ujue unao vijana makini, lakini tumeshindwa hata kuvuna vijana hata wale ambao wamezamia tu kule nakuwapa mafunzo makini watusaidie kwenye majangq kama hili la ndege, wategemea nini zaidi?

Kwenye masuala ya kulinda maslahi ya taifa haijalishi ni mtu au watu fulani tuu ndo wateule wachache wewe waangalia masuala haya kwa upana wake.

Wenzetu wengine siku hizi wameenda mbali sana wanaweza kuanza kukufuatilia hata unapokuwa ukitumia Xbox au PS na wakawa wanakupa mitihani bila wewe kujua wafanya majaribio ya kuonakama wafaa.

Mara tu waona barua inakwambia unahitajika mahala kwa usaili (wanakwambia labda umepata kazi nzuri tu) ambapo ukifika kule waambiwa kazi yako halisi na iwe siri na hata familia iisijulishwe.

Ila serikali hii sasa inaendelea kuifumua TISS ambayo ilioza sana na kuwa nyuma kwa kila kitu.
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
'Good thinking' hata wanaoitwa watu wasiojulikana ni doa kubwa sana '' why give them a shield that is if they are still existing the so called unknown criminals ''
 
Kwa mara ya tatu tena nakuandikia Mzee wangu Dr Modestus Kipilimba, mkurugenzi mkuu wa idara ya usalama wa taifa, TISS.

Natamani sana, Rais Magufuli awe wa kwanza kusoma hii mada kabla yako.

Nimeshindwa kuendelea na kazi niliyokuwa naifanya usiku huu kwenye Computer, moyo wangu umekosa amani kabisa hadi niandike hii mada.

Dr. Kipilimba, unadhani bado unastahili kuongoza Idara nyeti na muhimu Kama hii ya TISS?

Kwanini mikononi mwako serikali ya awamu ya tano inadhalilika sana kimataifa?

Kwanini Idara yako imeruhusu uwepo wa watu Kama Musiba wanaokashifu viongozi wakubwa hadharani?

Sikufundishi kazi, ila nashangaa kwanini hujui kuwa idara kama TISS ndo Roho kamili ya Tanzania.

Kifo cha TISS ni kifo cha Tanzania, kwanini hujifunzi magumashi ya CIA, MI5, Mossad na mashirika mengineyo kama TISS?

Ninaposema magumashi nadhani umeelewa vizuri kabisa, maana nikielezea itahitaji kitabu.

Uimara wa TISS ndo Uimara wa Tanzania, na udhaifu wa TISS ndo udhaifu wa Tanzania.

Tunajua ya kwamba dawa ya Deni ni kulipa, lakini ilikuwaje TISS ikashindwa kubaini kuwa Steyn kafungua shauri mahakamani dhidi ya Tanzania kudai mali yoyote ya nchi ikamatwe?

TISS ingeitaarifu serikali basi, ndege isingeenda SA, na hivyo wangetafuta namna nyingine ya ku-solve tatizo.

Ni aibu kubwa mno nchi kudaiwa na raia mmoja Halafu mali ya nchi kukamatwa kwa Deni nje ya nchi, hii fedheha kubwa.

TISS mngeweza kuepusha hii fedheha. Kama TISS, ilishindwa kubaini njama za kutaifisha mali ya nchi, je itaweza kujua nini kinapangwa Somalia na Alshabab kwa mfano juu ya nchi?

Dr Kipilimba, TISS chini yako ni dhaifu mno, nakushauri u resign tu. TISS chini ya Dr Hansy Kitine na hayati Imran Kombe ilikuwa imara kupindukia.

Nakumbuka Tukio moja (siwezi kulitaja) nilikuja kushtuka mission accomplished muda mrefu kumbe yule jamaa alikuwa TISS na akapotea kama jini.

TISS ya leo imejaa vijana wa UVCCM, wasiojua lolote kuhusu intelligence wala miiko yake. Idara hii imegeuzwa kuwa ya kisiasa ili CCM itimize ndoto zake za alinacha za kutawala milele. Inashangaza sana, yaani Idara haikuweza hata kuzuia maandamano ya kuharibu Diplomasia yetu na SA.

Watumishi wa Idara hii wanatakiwa wawe wafia nchi (wazalendo kweli kweli) siyo wafia CCM au CHADEMA.

CCM itakufa, CHADEMA itakufa, lakiniTanzania ipo tu!
HAWEZI KUKUELEWA, AMEAHIDIWA UBUNGE WA KILOMBERO NA UWAZIRI JUU.
SASA HIVI IDARA INAONGOZWA NA WAP.UMBAVU KAMA KINA MUSIBA.
HATA ISSUE YA KOROSHO, SUKARI, MBAAZI N.K NI MATOKEO YA UDHAIFU MKUBWA NDANI YA IDARA. WANAWAZA SANA VYEO NA MATUMBO YAO BADALA YA KUSHAURI MAMBO YA UCHUMI N.K
WAO WANAAMINI KUBORESHA UCHUMI NI KUNYANG'ANYA WATU PESA KWENYE AKAUNTI ZAO NA KWENYE BUREAU DE CHANGE, AIBU SANA!.
 
HAWEZI KUKUELEWA, AMEAHIDIWA UBUNGE WA KILOMBERO NA UWAZIRI JUU.
SASA HIVI IDARA INAONGOZWA NA WAP.UMBAVU KAMA KINA MUSIBA.
HATA ISSUE YA KOROSHO, SUKARI, MBAAZI N.K NI MATOKEO YA UDHAIFU MKUBWA NDANI YA IDARA. WANAWAZA SANA VYEO NA MATUMBO YAO BADALA YA KUSHAURI MAMBO YA UCHUMI N.K
WAO WANAAMINI KUBORESHA UCHUMI NI KUNYANG'ANYA WATU PESA KWENYE AKAUNTI ZAO NA KWENYE BUREAU DE CHANGE, AIBU SANA!.

Acha utani mkuu, yaani Idara iongozwe na mtu kama Musiba?

Dah!!
 
Back
Top Bottom