Mkuu asante sana kwa hili, ila kwa sasa na vile tiss ya leo iko huwezi ilinganisha hata kidogo na mabigwa kaa CIA, M15, au the dreaded and most feared spy agency in the world, the israel MOSSAD.
Hapo miaka ya nyuma, TISS ilikuwa imara kabisa, hata huko Kenya tiss ilikuwa inaheshimiwa kabisa, lakini TISS ya leo imejaa wanafiki wa UVCCM, na wewe unajionea vile mambo inakwenda.
Hii TISS ya leo imekuwa kazi yake ni kuteka na kuua, haswa wapizani au watu ambao CCM haiwataki, kumbuka Zachariah kule Mara mkuu?
Hii tiss ya leo ni A BRANCH OF CCM PERIOD,