Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Dkt. Kipilimba, sasa yatosha!

Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Upo sahihi ila unakwepa mada! Kwa maana yako hii ni kuwa unaungana nae kuwa kazi ni kusaka.......wa ndani tuu?
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
Akiamu asikamatwe hakamatwi, ukiamua kufanya jambo serious unaweza tu kukwepa au
unataka kufundishwa?
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!

Kama walishauri na yakatokea haya..........
Basi ni hatari zaidi..........
Nilijua walichili tu.........
Kumbe Tiss=CCM
 
Hawana haja ya kushauriwa tena. They are already dead since all the unjustifiable assassinations of opponents. God is now at work;cleansing tz. The deaths of the TISS buffoons is now rampant. How many mysterious death of TISs up to now Mr kipilimba?
 
Mmh MUNGU ndio mlinzi WA hili Taifa sio polish wala TISS,siasa imeingia Hadi kwenye vyombo nyeti vya Taifa utegemee kuna nini tena? TISS ya leo Kwa asilimia kubwa wamejikita kujikomba Kwa wanasiasa wala sio weledi,Siku TISS Ilivyoruhusu msamiati watu wasio julikana uingie kwenye maisha ya kila siku ya Watanzania ndio Kwa mara nyingine ilidhihirisha kuwa hiki NI chombo sasa cha wachumia tumbo sio walinzi wa Watanzania, seriousness Yao itatokana na mood ya watawala sio kiasi gani Amani ya Tanzania iko hatarini
 
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
hata kama.

TISS hawakupaswa kuishia kushauri. walipaswa ku-act, ikiwemo kuzuia ndege zetu zisitue SA. mbinu za kijasusi kutekeleza hili zipo nyingi na TISS wanazijua sana.
pitia stori za CIA, FBI, Mossad au KGB utajua nikisemacho.

TISS is a failure nchi hii kwa sababu imeacha kulinda maslahi ya nchi badala yake inafuata utashi wa watu binafsi.

pathetic!!
 
Tusihukumu jamani... Hawa jamaa (TISS) wanafanya kazi ipasavyo na wanatimiza wajibu wao wa kuishauri serikali. Hakuna sababu ya kuilamu maana kufata ushauri ni hiari yako dhidi ya maamuzi unayotaka kuyafanya
 
Nadhan lawama zinapaswa kwenda ubalozi Kwetu south
Na sio hao unaowasema

Sidhan hivyo Ila kama Unataka kuleta ujuaji kwamba unaifahamu kiundani sawa pia
 
Ukada wa CCM uliojaa ndani ya TISS yetu ndio unaoua utendaji wake, wanachowaza ni kudhibiti wapinzani wanaompinga mfalme ndani ya chama chake na nje ya chama chake na kudukua maongezi ya akina Membe, Kinana na Nape.

Ukiachilia mambo ya kimataifa ambako hata geji zake hazina uwezo wa kusoma kilichoko ng'ambo ya pili kinachoweza kuhatarisha taifa hawana hata uwezo wa kugundua mipango ya kesho ya majambazi waliopanga kuvamia benki.
 
Nimecheka! Eti "... YOU FILL PROUD!..."
Yaani muandamanaji mmoja amebeba bango eti Nyie Wasauzi tuliwasaidia nyinyi kuwashinda makaburu duh!

Sasa ina maana kama uliisaidia nchi kupata uhuru ndo uingilie utaratibu wake wa kujiendesha kama taifa huru?
 
Kwa hiyo una maanisha walishiriki kuratibu maandamano?
Usichokijua ni bora tu kukaa kimya. Una uhakika gani kuwa hizi allegations zako TISS walikuwa hawazifahamu?

Una uhakika gani kuwa TISS hawakishauri lolote kabla ya haya kutokea?

Tanzania tuna bahati ya kuwa taasisi imara. Hata wewe wakiamua kudeploy resources na kukufikia usiku huu wanakupata.

Usiku mwema!!
 
Mwenye access ya username yake am-tag shushushu namba wani.
Mafisadi wana hasira sana!!! Dr. endelea mbele, makelele haya ni dalili kuwa unafanya kazi nzuri!!! Wenye akili zao wanaelewa kazi muhimu inayofanywa na serikali na idara hii muhimu unayoiongoza Dr inafanya kazi nzuri sana! Mafisadi na wahujumu uchumi hawana pa kupumulia!. Wana ndoto za mchana kuwa Dr ukiondoka watapumua! Wanajidanganya! Kaza Uzi na waondoke wao!!!!
Badala ya kujadili mambo ya muhimu watu wanajadili watu binafsi, huko ni kufilisika!!!
 
Back
Top Bottom