johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,151
- 142,244
Ni taarifa za hivi karibuni kabisa kutoka kwa watu walio karibu na mbunge wa Nzega vijijini, Dkt. Kigwangalla.
Taarifa zinasema Kigwangalla atachukua fomu kesho pale Dodoma na tayari Wabunge wengi wameonyesha kumuunga mkono.
Je, atapita?......... Ngoja tuone!
Taarifa zinasema Kigwangalla atachukua fomu kesho pale Dodoma na tayari Wabunge wengi wameonyesha kumuunga mkono.
Je, atapita?......... Ngoja tuone!