fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,411
- 7,966
Ha ha ha hata kura 2 hatapataNi taarifa za hivi karibuni kabisa kutoka kwa watu walio karibu na mbunge wa Nzega vijijini Dr Kigwangalla.
Taarifa zinasema Kigwangalla atachukua fomu kesho pale Dodoma na tayari Wabunge wengi wameonyesha kumuunga mkono.
Je, atapita?.........ngoja tuone!
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app