Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Nakumbuka alipopata ajali watu badala ya kumpa yeye pole walimpatia dreva wakeChizi tu ndiye atakayempa KIGWANGALLAH Uwaziri. Jamaa mpambe nuksi hata zaidi ya BASHITE ! Mnafiki hatari. Atamkana hata mama yake mzazi na hata kumuua akiambiwa achagua kati ya mama na madaraka !
Mbaya zaidi KIGWA ni mshirikina hatari. Sitashangaa keshaua hata itu sita ardua kwenye baraza..... !