Dkt. Kigwangalla amuomba Rais Magufuli kutolea kauli ombi walilompelekea Waziri Bashe, lakini Bashe apangua hoja kwa data!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,875
Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.

Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.

Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.

Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
 
Hivi tulizuia Bunge live ili watu wafanye kazi..., sasa hizi mubashara kwa muktadha huo......, au ?
 
Kigwa Kila siku anazidi kujidhalilisha, angekaa kimya.. shobo kumshindo sio inshu
 
Sasa ni mtifuano wa nyumba moja wacheleweshaji si hawapo tena! Tanzania yote ni ya kijani, Jiwe shikilia hapo hapo ! Mitano tena au nasema uongo ndugu zangu?
 
Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.

Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.

Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.
Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Kwani kampeni zimeshaanza mara híi Joni
 
Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.

Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.

Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.
Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.

Source Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
So what?
 
Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.

Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.

Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.

Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Kigwangala kaanza Majungu yake kwa Bashe
 
Leo Rais Magufuli amesimama katika mji wa Puge na kumtaka mbunge wa Nzega vijijini kuelezea matatizo ya jimbo hilo.

Ndipo alisimama mh Kigwangalla na kusema wao walipeleka ombi la kujengewa scheme ya umwagiliaji kwa naibu waziri wa kilimo mh Bashe lakini kwa kuwa Rais Magufuli yupo jimboni hapo basi anamuomba alitolee kauli.

Rais Magufuli akaomba majibu kutoka kwa naibu waziri ndipo mheshimiwa Bashe akaanza kutiririka kwa data namna alivyoshughulikia mradi huo na kwamba hadi sasa wataalamu wako site wanachapa kazi.

Wananchi wote walimshangilia naibu waziri kwa vifijo na vigeregere.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Kigwa hatembelei jimbo lake.kichwa imevurugwa
 
Back
Top Bottom