Walimkataa wakamchagua Rage lakini Rais anamtaka!
Naona na mimi sasa niingie kwenye siasa manake ukipata utaendelea kupata. Ukikataliwa na wapiga kura kama Rais anakutaka atakuteua tu ukale bata. Ngoja nifanye haraka kabla ya katiba mpya manake naona watanzania wanataka eti kila anayeteuliwa aidhinishwe na bunge! Ikiwa hivyo hata maana ya Urais itakuwa hakuna!!
Waliosuswa na wananchi wanazidi kuonekana ''deal'' kwa mkuu wa kaya!
Mazingaombwe yanazidi kutokea nchini kila siku.
Kabla ya hapo wanasema Msekela alikua RC Dodoma,huyu jamaa alikuwapo kipindi cha Nyuma kwani wa sasa ni Dr Rehema Nchimbi,wadau au mie cjaelewa maelezo haya?
Hapana mkuu Maranya, swala nikuwa hao ndio wajumbe walio muingiza mkulu kwanye uongozi kwa hiyo hawezi kuwatupa hata kama wananchi hawawataki.Waliosuswa na wananchi wanazidi kuonekana ''deal'' kwa mkuu wa kaya!
Mazingaombwe yanazidi kutokea nchini kila siku.
Huyu naye si Tabora walimkataa Ubunge?
Ahsante mkuu kwa kunipa hiyo nilikuwa nimechanganya madawa! Hawa wasomi walinichanganya kidogo. Nakumbuka sasa Prof. Mgombelo alikuwepo pale TBR kisha akaja Mchumi Kaboyonga na baadaye Mzee wa Saigon! Kumbe Dr. Msekela naye ni mtu wa umeme kama Prof. Mgombelo! Hivi Prof. Mgombelo hakupewa haya ujumbe wa bodi ya TANESCO?Mkuu tuweke facts vizuri Rage in no substitute for Dr Msekela. Rage ni mbunge wa Tabora mjini. Dr Msekela was replaced by Shaffin Mamlo Sumar kuwa mbunge wa Jimbo la Tabora Kaskazini.
BTW Hongera sana Dr Msekela, japo ninasikitika kuwa tunazika utaalam wa 'High Voltage' kwenye siasa na kudunisha maendeleo but I hope you are enjoying your royal support to the then wanamtandao na sasa JK mwenyewe.
Wishing you all the best. Hoping Mgombelo anajuta kuwavuruga jamaa.
Kweli mkuu. Nilikuwa nimejichanganya tu.Rage alichukua nafasi ya Juma Kaboyonga kama sikosei.Halafu nilipata kusikia stori za kijiweni kwamba Dk Msekela ni rafiki mkubwa wa JK nikapuuza!Sasa nitaanza kuziamini stori za vijiweni aisee.
Mkuu huyu Regia Mtei ni yupi tena? Au ni Regia Mtema?Huyu bwana alikuwa mkuu wa mkoa hd septemba mwaka huu na katika uteuzi tuliambiwa amepangiwa kazi nyingine na kazi nyingine yenyewe si ndio hiyo sasa cha ajabu ni nini?pili kukosa kuchaguliwa na wananchi sio kigezo kwamba hufai mbona kina regia mtei walikosa majimbo na bado ni viongozi wetu tumewapa nafasi zingine?
Hapana mkuu Maranya, swala nikuwa hao ndio wajumbe walio muingiza mkulu kwanye uongozi kwa hiyo hawezi kuwatupa hata kama wananchi hawawataki.
Mkuu mwita hivi ungekuwa wewe una madaraka ya kuteua watendaji kama madaraka aliyonayo Rais ungeacha kweli kuwateua watu WAKO ukaenda kuteua ma chasaka ama wanyamahanga? Nadhani ungeangalia walio karibu na wewe na unaowajua watakusaidia hata kama watu watawakataa lakini wewe unawaamini utasonga mbele tu! Mwita ukikwaa madaraka najua hutaniacha kwa kuwa unanijua kupitia JF!Waliosuswa na wananchi wanazidi kuonekana ''deal'' kwa mkuu wa kaya!
Mazingaombwe yanazidi kutokea nchini kila siku.
Mkuu kweli kuna jimoto lilitokea pale ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na kuteketeza ofisi. Hivi haikuundwa tume juu ya hilo?baada ya kuchoma ofisi na kufuja ujenzi wa ofisi mpya unazawadiwa kwenda kunywa mvinyo wa roma..maajab ya mgonjwa kuhonga asichomwe sindano analiwa pesa na bdo haponi.ndo tz yetu ya kulindana
Kimbunga..haya majanga ya moto yanayotokea usiku ac zimezimwa na pia vifaa vingine vya ofisi vipo off ni ya kujiuliza sana..hamna petrol sigara,pasi wala mapishi! Halafu no report!Mkuu kweli kuna jimoto lilitokea pale ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na kuteketeza ofisi. Hivi haikuundwa tume juu ya hilo?
Hivi Karume alikuwa Italy? Huyu akienda UN anaweza.kusema Zanzibar inataka kiti chake ilichokiacha 1964! Lakini jamaa ni career diplomat!Labda Karume ndiyo atarithi mikoba ya Sefue UN.