Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 726
- 1,044
Malaika mtoa roho yupo kazini, wanasiasa mashuhuri wanapukutika mmoja baada ya mwingine.
#Tukujonga #jumojumo.
#Tukujonga #jumojumo.
Bora iwe wiki isijekuwa mwezi.Wiki ya kufa vigogo
Huyu mwamba kwenye mizania ya uzalendo alikuwa = 0. Alikuwa tayari kuuza nchi!Alikuwa mtu muungwana sana
Apumzike kwa amani mbunge wangu wa zamani jimbo la kibahaDr. Ibrahim Msabah amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa.
😂😂😂 Laigwanani lairanya yeroooLaigwanani anasindikizwa na Wengi
Dr Mwakyembe alisema Waziri wa nishati wa wakati huo Dr Msabaha ndiye aliyewang'ata sikio
Sijajua aliwang'ataje 🐼
Rip Msabaha
Hapana mkuu hawa walikuwa watu wadogo sana hawakuwa na nguvu kwenye siasa za tanzania ndio maana mambo yalivyokuwa mengi alijiuzulu akawaachia wenye nguvu zao, na hata bungeni aliweka wazi kuwa yeye ni anapokea orders kutoka juu haisiki na mambo hayo , hata report ya mwakyembe ilimuweka huru, alikuwa hana makuu wala sio mpenda madaraka au mroho kwa hilo naweza kumteteaHuyu mwamba kwenye mizania ya uzalendo alikuwa = 0. Alikuwa tayari kuuza nchi!
Na kilongolaRIP mzee bangusilo.
Wadogo zetu hao wa 60sUzao wa 1960s wanaondoka kweli kweli, baada ya miaka 6 unafuata uzao wa 1970s
komaUzao wa 1960s wanaondoka kweli kweli, baada ya miaka 6 unafuata uzao wa 1970s
Kazi ipo!Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa.