Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,488
- 7,938
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
====== For English Audience ======
FORMER MINISTER DR. IBRAHIM MSABAHA DIES AT 72
Former Minister of Energy and Minerals, Dr. Ibrahim Msabaha, has passed away on February 13, 2024, at the age of 72, while on the way from his home in Masaki, Dar es Salaam, to Muhimbili National Hospital.FORMER MINISTER DR. IBRAHIM MSABAHA DIES AT 72
His Sister, Pili Msabaha, confirmed his demise, noting his prolonged illness and frequent hospital visits.
Dr. Msabaha also served as the Minister of East African Cooperation and Member of Parliament for Kibaha Constituency