Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,920
- 31,161
Nawasalimu kwa jina la Walamba Asali.
Nawakumbusha tu ile ripoti ya ukwapuaji wa mali za CCM Dkt. Bashiru hajaitoa hadharani.
Tutulie siku akitibuka mbona mtashangaa kuna wakubwa walipokonywa V8 barabarani, wengine walijimilikisha shule za chama wengine viwanja na mijumba ya maana.
Ni hayo tu kwa leo msifikiri mchezo hadi kamati kukaa na kuamua kupiga kimya maana kila anayejaribu kupayuka ana madoa doa kibao.
Dkt. Ngongo, nimekwama kutoa press release baada ya kugundua nina madudu kibao.
Nawakumbusha tu ile ripoti ya ukwapuaji wa mali za CCM Dkt. Bashiru hajaitoa hadharani.
Tutulie siku akitibuka mbona mtashangaa kuna wakubwa walipokonywa V8 barabarani, wengine walijimilikisha shule za chama wengine viwanja na mijumba ya maana.
Ni hayo tu kwa leo msifikiri mchezo hadi kamati kukaa na kuamua kupiga kimya maana kila anayejaribu kupayuka ana madoa doa kibao.
Dkt. Ngongo, nimekwama kutoa press release baada ya kugundua nina madudu kibao.