Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Ndio maana CDF aliomba maswala mengine awasilishe ofisini badala ya kwenye podium.Sasa nimeanza kuelewa jambo.
Bashiru angetafutiwa hata Ubalozi,kwasababu anaenda kukutana na wale wabunge aliowanunua wengine wanaenda kuwa boss zake,kama kina Gekul na Silinde.
 
Kinywa kiliubwa ili kuumba, ila binadamu sie tunakitumia kuwasiliana.
Kuna mtu mmoja anaitwa Yefta kwenye biblia, alikwenda vitani kupigana na Waamoni akasema "chochote kitakachotoka mlangoni kwangu kunilaki baada ya kuwapiga Waamoni nitakitoa sadaka ya kuteketezwa kwa Mungu".Wakati anarudi, binti yake wa pekee atatoka kuja kumlaki. Yefta alilia kwa uchungu mkubwa, ila binti yake akasema, ikiwa umeapa kwa Mungu basi nitendee kama ulivyosema.
 
Bashiru na halima mdee utofauti wao ni jinsia tu maana wote ni wabunge wa viti maalum...watakuwa wanauliza maswali ya nyongeza..
Duh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2839]
 
Hebu weka ile clip chief !

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Duu jamani usimnyanyapae mtu huijui kesho yake!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mwezi wa January Bashiru alikua anakaa nyumba iliyotengwa kwa ajili ya katibu mkuu wa CCM.
Mwezi wa February akahamia nyumba ya katibu mkuu kiongozi
Mwezi wa March amehamia kwenye nyumba yake Changanyikeni nyuma ya chuo kikuu Cha Dar.
Nyumba tatu ndani ya miezi mitatu. Akija Dodoma atakua anafikia gesti Haus
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bashiru mwezi February alikuwa anaishi nyumba ya Katibu mkuu ccm, March akaamia nyumba ya Katibu kiongozi,
Sasa anahamia nyumbani kwake msesewe.
Utalii wa ndani [emoji1787][emoji1787][emoji2093][emoji2093]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…