Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Haiwezekani PM hawezi kutoka viti maalum/vya kuteuliwa
Labda aroge Mbunge wa kwenye Jimbo lake afe kisha akagombee yeye vinginevyo aishi kwa matumaini tu kuwa Ile special audit report ya BOT ije msafishe. Pale alipo haja ndefu inagonga kyupi na kurudi ndani.
 
Labda aroge Mbunge wa kwenye Jimbo lake afe kisha akagombee yeye vinginevyo aishi kwa matumaini tu kuwa Ile special audit report ya BOT ije msafishe. Pale alipo haja ndefu inagonga kyupi na kurudi ndani.
 
Hi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu

Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA

Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!

Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.

Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.

Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.

Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!

View attachment 1741824
Kaishaiba hela ya kumtosha maishani
 
Watu washamba awafai kupewa madaraka.Huu msemo una maana kubwa.Unakuta mtu analewa na koti la kuazima.
 
Alikuwa anajichulia kifo
Alikuwa anasaini cheki ya kifo chake maana kila marehemu husimulia juu ya kifo chake kabla ya kufa mm binafsi nilipoona simulizi za kuhusu kifo zimekuwa nyingi pale kanisani nilianza maandalizi ya sherehe ya maombolezo😅😅😅😅😅
 
Hi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu

Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA

Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!

Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.

Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.

Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.

Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!

View attachment 1741824
Wapinzani wa nchi hii hamna akili kabisa ni ulofa kushangilia Mtu Kama Balozi Bashiru ambaye mbunge kuondolewa kwenye nafasi KMK
Balozi Bashiru ni mwana CCM aliyemuondoa pale ni mwana CCM
Kwanza kwa nafasi aliyonayo mpk sasa bado si ya kubeza
Pili Bashiru ni mwanasiasa amekuwa katibu wa chama chao hujui legacy aliyotengeneza

Hawa Cha dema mmejaa chuki mno hataaminika katika nchi hii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wapinzani wa nchi hii hamna akili kabisa ni ulofa kushangilia Mtu Kama Balozi Bashiru ambaye mbunge kuondolewa kwenye nafasi KMK
Balozi Bashiru ni mwana CCM aliyemuondoa pale ni mwana CCM
Kwanza kwa nafasi aliyonayo mpk sasa bado si ya kubeza
Pili Bashiru ni mwanasiasa amekuwa katibu wa chama chao hujui legacy aliyotengeneza

Hawa Cha dema mmejaa chuki mno hataaminika katika nchi hii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hii nayo pia ni reply kwa mtazamo mwingine... Asante kwa kuchangia mada
 
Ila kama kumekuwa na compelling reasons za kumuondoa na kumpeleka to another Governance branch ni sawa.

Lakini kama ni 5 years contract kama CS , kama taifa tutaingia gharama kubwa kuinunua contract yake.

Na pili amekuwa katika center of Party and Government activities, all Government and Party was for sometimes oscillating around him huoni anaweza kuwa mwiba mkali ladba kama alikuwa kilaza wa Kupitiliza kushindwa kupitia mafaili ya, National Security Council minutes, Cabinet meeting minutes, Government implementation committee meeting minutes, Public Service top echelon files na maamuzi mazito ya serikali. Ndio maana Urusi, wanakupoteza tuu, mna malizana.
 
Hi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu

Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA

Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!

Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.

Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.

Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.

Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!

View attachment 1741824
Aisee
 
Back
Top Bottom