Kwa ninachojua mimi bashiru ally ndio rais 2025 anayeandaliwa na ccm
Mkuu Mshana jr bingwa wa vilinge,ni kwanini mara nyingi maneno huumba kwenye negativity!? Mtu akijitamkia utajiri au kushinda bet ngoma inakuwa holaHi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu
Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA
Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!
Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.
Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.
Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.
Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!
View attachment 1741824
Hata positive zipo nyingi tu ila zinazoonekana zaidi ni neg... Wanasema mambo mabaya huwa na sauti kubwa kuliko memaMkuu Mshana jr bingwa wa vilinge,ni kwanini mara nyingi maneno huumba kwenye negativity!? Mtu akijitamkia utajiri au kushinda bet ngoma inakuwa hola
Unatenguaje? Nikiwa mdogo nilisema staki utajiri nataka maisha ya kati tu,kibanda cha kuishi kula na kulala basi,nilisema hivyo kwasababu niliaminishwa huwezi kuwa tajiri mpaka utoe kafara,ni kweli mpaka sasa naishi maisha hayo kila nikifurukuta nizimakate nyingi sana nakwama naishia kwenye 20M na kuanza kurudi nyuma,baada ya kusoma huu uzi nimejikuta nipo kundi moja na Bashiru Kakurwa,natenguaje?nataka kuwa tajiriKazitengue zote unazokumbuka na usizokumbuka
Linafanywaje, maana kile Kapoor cha sikuachi mpk kufa ni balaaLazima afanye hivi kuna kafara lake naweza kumsaidia...kafara la kutengua kauli au kiapo![]()
Apo ndyo ile ina itwa Make Mb V the subject marks 25..Mama Kajinyakulia zote bila kuchora Swali, kazi, jibu.....From K/Mkuu To mb V/maalumu hii kitaalamu inaitwaje?
Hata jiwe aliropoka kuhusu kifo chake pale kanisaniHi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu
Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA
Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!
Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.
Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.
Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.
Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!
View attachment 1741824
Inasemekana alikwenda Ikulu kwa ving'ora akarudi kwa lift baada ya mtu mwingine kupewa nafasi yake, sijui ni nani alimpa lift.Tuendelee kukumbuka Cheo ni dhamana.. hakuna aliezaliwa nacho ...
Apambane na hali yake