ibrahim kisili
Member
- Feb 20, 2011
- 13
- 8
Hivi kesi ya msingi ni ipi? mpaka tusijadili ili swala? me nadhani majadiliano hayatakiwi kuathiri mwenendo wa shauri lililoko mahakamani ila kujadili kuteswa na kutekwa kwa dk ulimboka ni swala linalojadilika kabisa kabisa