Dk.Slaa: Tulishinda urais mwaka 2010

Dk.Slaa: Tulishinda urais mwaka 2010

Kweli dokta. Nakumbuka matokeo ya jimbo la Nyang'wale na Geita yalichanganywa makusudi kabisa eti kuipa ushindi CCM. Pia matokeo ya shinyanga mkurugenzi aligoma kutangaza baada ya ccm kumlazimisha atangaze kinyume na yalivyo, na aliyetangaza akawatangaza CCM washindi kwa tofauti ya kula moja dhidi ya cdm. Majimbo mengi matokeo yalitangazwa kwa utata sana mfano segerea, kibaha, temeke, mtwara mjini, tandahimba, nyamagana, mleba yote, bukoba mjini, tarime, n.k ILA KITU NACHOKUMBUKA NI DK.SLAA RAISI WA MIOYO YA WATANZANIA KUONGOZA KATIKA MATOKEO YA UCHAGUZI KATIKA MAJIMBO KARIBU YOTE YA KANDA YA ZIWA NA MAGHARIBI MBAYA ZAIDI KITUO CHA POLISI MABATINI MWANZA AMBAPO ALIONGOZA KWA ZAIDI YA 88%

Duuh, hii kali kweli kweli na maana yake ni kuwa polisi na Jeshi vinalazimika kumtii Amiri Jeshi mkuu kwa baasi tu lakini kmwe hayumo ndani ya mioyo yao!!

Katika utafiti wangu,nimethibitisha pia kuwa hata kwenye kambi za jeshi karibu zote mzee wa kazi Dr W.P Slaa alimpiga kwa mbaaali sana "Mr Dhaifu" na inasemekana kuwa kuwa kwa kura alizoambulia huyu katika vituo vilivyoko kwenye Barracks za jeshi na police ni zile za maofisa wa ngazi za juu tu wachache wa kuteuliwa mfumo!!

Lakini asikudanganye mtu hawa askari wa ajira za kawaida hasa wa jeshi la polisi wako upande wa wananchi. Ukikuta wanagawa kipondo kwa wananchi eneo flani ujue wanatii amri tu na hawana namna kwa sababu wanaishi kwa kazi hiyo wao na familia zao na kanuni za kazi yao zinawataka wafanye hivyo!!

Hata mimi natambua kuwa Jakaya Kikwete hakushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ndiyo maana hajiamini na utawala wake unayumba kuliko tawala zote zilizowahi kutokea,na ni kwa sbb hana uhalali wa umma anaouongoza,ni Rais wa kikundi flani kidogo tu cha watu wanaodhania wana nguvu sana kuuzidi umma. Na wamshukuru Mungu sana kwani hajataka kuruhusu baya lolote kutokea dhidi ya utawala wake huu dhalimu na hii si kwa sababu nyingine yoyote labda wajione wao wana uhalali,walishinda uchaguzi kihalali...la hasha, bali Mungu huyu mwenye enzi ameruhusu waovu hawa kuendelea kupumua na kufurahia uovu wao ingalau kwa sasa ili wana wa Mungu (wana wa nchi hii) wasipate taabu,wapite na kufika salama kule anakokusudia kuwapeleka, nchi ya Kananii!!

Lakini uvumilivu wa Mungu umeshafikia kikomo na tayari amekwisha kuandaa mpango maalumu wa ukombozi kwa watu wake na ameshawaonesha wadhalimu hawa na kuwambia kwamba utawala wenu uko ukingoni......ndiyo maana haya tunayoyaona sasa yanatokea, ndiyo maana wanapambana mpaka tone lao la mwisho lakini hiyo ni kazi bure tu kwa sababu Mungu kamwe hawezi kushindana na wanadamu....Lakini hayana madhara kwa sababu mpango wa Mungu ni madhubuti na hauna madhara kwa watu wake wasio na hatia!!
 
"Sababu, unafika kwenye jimbo wanakusomea kura ulizopata katika uchaguzi ule wakizilinganisha na alizozipata Kikwete na Profesa Ibrahim Lipumba… wanasema Dokta hapa ulimshinda… kwa kura 20,000, pale ulimshinda kwa kura 15,000 pale ulimshinda kwa kura…,".Huu ndo uthibitisho kuwa alishinda. Kasoro kubwa ya huyu babu ni kupenda kuambiwa lile linalompendeza sio ukweli. Kama walishinda wakiwa Kama Chadema kwa nini wasioongeze ulinzi wa kura badala ya kujiunga na UKAWA, au ukawa na Mgambo wa kulinda kura zake.

Unaelewa sababu za kuwapo UKAWA? au ndo umeamka?
 
Habari leo gazeti la nani? Unadhani wataandika nini km c habari zinazofanana na za gazeti la Uhuru?

Magazeti yasiyo na soko hapa bongo ni pamoja na UHURU, HABARI LEO
Balaa ya gazeti linalouza na kununulika ni TANZANIA Daima.....
nani anabisha????
 
CCM ni mkusanyiko wa majini, mapepo, vinyamkera, wanga, wapunga pepo, washilikina, majangili, wezi, majambazi, maharamia, magaidi, mafisadi na watu wote mfano wa chifu Mangungo.

Kwa ufupi CCM ndo SHETANI mwenyewe hivyo hawana jema wala kamwe hawawezi kusifia jema bali uovu wa kila aina wanaoufanya ndo kitu wanaweza kutetea na kukishangilia hata kama nao wanaumia kutokana na uharamia wao.

Ina maana kabla ya kura za Maoni za 1995 Dkt Slaa alikuwa nani kati yao hao uliowataja?
 
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinaamini kilishinda uchaguzi wa rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 chini ya mfumo wa vyama vingi.

Katibu Mkuu wa Chadema Dk Willbrod Slaa, ambaye pia alikuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho kwenye uchaguzi huo, alibainisha hayo hivi karibuni wakati wa mahojiano maalumu na waandishi wa gazeti hili.

Dk Slaa alisema kuwa ana uhakika kuwa chama chake kilipata kura nyingi zaidi za urais, tofauti na mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Mrisho Kikwete aliyetangazwa mshindi.

“…Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010, tulikataa kumtambua Rais Kikwete, ingawa wakati ule hatukujua kwa uhakika kama tulishinda. Kadiri nilivyozunguka, ndiyo kadiri tulivyoanza kuamini kwamba tulishinda,” alisema Dk Slaa.

Alisema kuwa takwimu walizonazo zinaiaminisha Chadema kwamba ilishinda Uchaguzi Mkuu wa urais mwaka 2010.

“Sababu, unafika kwenye jimbo wanakusomea kura ulizopata katika uchaguzi ule wakizilinganisha na alizozipata Kikwete na Profesa Ibrahim Lipumba… wanasema Dokta hapa ulimshinda… kwa kura 20,000, pale ulimshinda kwa kura 15,000 pale ulimshinda kwa kura…,” alifafanua na kusisitiza:

“Sasa ndiyo, tuna uhakika kama tulishinda na ndiyo maana Kikwete hajawahi kwenda kwa wananchi kushukuru kwa kumchagua, tofauti na tabia yake. Anachofanya sasa ni kwenda kuzindua miradi.”

Hata hivyo, Dk Slaa alisema hawakuweza kuendelea na madai yoyote kwa sababu kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi, mshindi wa urais akishatangazwa hairuhusiwi kupinga kwa namna yoyote hata mahakamani, akieleza kuwa hiyo pia ndiyo sababu ya kuhitaji Katiba Mpya.

Tume ya uchaguzi na CCM

Alipoulizwa kuhusu tuhuma hizo, Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Mstaafu Damian Lubuva alisema anasubiri kwanza kusoma kwenye vyombo vya habari alichokisena Dk Slaa ndiyo ataweza kuzungumzia suala hilo.

“Kwa kuwa wewe ndiyo umeniambia Dk Slaa amesema hivyo, ngoja nione kwanza halafu tume itatoa maelezo,” alisema Jaji Lubuva.

Alipopigiwa simu Makamu Mwenyekiti wa CCM- Bara, Philip Mangula ili atoe ufafanuzi kuhusu suala hilo, alimsikiliza mwandishi wetu, kisha akasema yupo katika kikao na kukata simu.

Wizi wa kura

Alipoulizwa kama wanaelewa kura zinavyoibwa kutokana na malalamiko ya mara kwa mara ya Chadema na vyama vingine vya upinzani, Dk Slaa alisema:

“Watu wengi wanafikiri huo ni wimbo tu wa kila siku, sasa kama tunaibiwa tunyamaze? Tuseme uongo kama hatukuibiwa kura…? Hakuna uwanja sawa katika uchaguzi.

“Uchaguzi kimsingi ni uwanja wa mpira. Umeshaona kama katika uwanja wa mpira upande mmoja kuna kichuguu na kinaachwa pale? Kinaondolewa. Kilichokosekana nchi hii ni dhamira ya kuondoa vichuguu katikati ya kiwanja cha mpira; usipoondoa hivyo vichuguu hutapata uchaguzi wa haki hata siku moja.”

“Kumbuka Arumeru tulitangaza, tukasema tumegundua vituo hewa 55 vyenye jumla ya wapigakura 20,000, tulitangaza. Bahati nzuri pale tuliweza kusimamia na mnakumbuka pale tulivyotukanana na ofisa wa polisi ambaye leo ni DCI, unaweza kumpigia simu Mwigulu Nchemba akueleze jinsi tulivyotunishiana misuli… tukafanikiwa pale kuokoa kura 20,000,”alisema.

Aliongeza: “Kalenga tulipiga kelele mwanzoni kabisa kuhusu kuwapo majina mapya kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura, kama daftari liliboreshwa… yaliingiaje kwenye daftari hili la 2010. Ndiyo maana hatuna imani na Tume ya Uchaguzi….”

Alibainisha: “Mimi nina uzoefu wa kesi za uchaguzi katika ushindi wangu mara tatu Jimbo la Karatu hakuna hata mara moja ambayo sijapelekwa mahakamani.

“Mara ya mwisho niliponea chupuchupu, ndiyo akili ikafunguka. Hukumu ilitolewa niwafungulie CCM kesi ya kughushi. “Kwa sababu mahakama ilikuta kura zaidi ya 5,000 kupitia fomu namba 21b (result form) siyo sandukuni ndipo walipoibia, lakini kwenye matangazo ya awali nilishinda kwa kura 1,060, wamekwenda mahakamani wakasema wamenishinda kwa kura 177.

“Kwa miezi mitatu niliangalia bila kugundua, nikipiga hesabu naona ni kweli, kumbe walitengeneza vituo hewa na katika vituo vya kujumlisha kura na kuvipa namba kama iliyopo kwenye fomu halali za matokeo na kujaza kura za wizi. Waliipa CCM kura 300, Dk Slaa kura 20, za kwao zilipanda zangu zilishuka, makahama imesema kazi hiyo haikufanywa kijijini bali na wataalamu, ndiyo maana tunataka Tume Huru ya Uchaguzi ili kuwa na uwanja sawa katika uchaguzi.”

Wingi wa wanachama CCM/Chadema

Kuhusu wingi wa wanachama wa Chadema na CCM, Dk Slaa alisema: “Kwa taarifa yako nina taarifa ya mkaguzi aliyewauliza CCM orodha ya wanachama wake ikashindwa kutoa. Kama hawana orodha ya wanachama, hiyo milioni sita wanaitoa wapi? Uongo, ‘nawachalenji’ watoe hadharani….”

“Ushahidi wa pili, kujua kama una wanachama ni uhai wa wanachama. Taarifa ya CCM ya 2010 inaonyesha kwamba walikuwa wanapata kutoka kwa wanachama wao Sh9 bilioni za kadi kama ada, zimeshuka hadi Sh2 bilioni, utahesabu ni wangapi hao. Wasitudanganye…, tuna vyanzo vingi vya kupata taarifa.

Mimi sitakupa leo nina wanachama wangapi kwa sababu tunafunga kompyuta kwenye kila kanda, jimbo na kata, tumeanzisha ‘data base’ baada ya kukamilika nitakwambia tuna wanachama wangapi,” alisema na kuongeza:

“Uongo wa CCM usikudanganye kwamba nguvu yao ni wanachama, kama nguvu yao ni wanachama, uchaguzi haupigiwi kura na wanachama, kura zinapigwa na wapigakura, wananchi wanaotaka huduma kwa sababu wanalipa kodi.

Wanapiga kura ili wapate kiongozi ili asimamia kodi zao, waondokane na maisha magumu, wapate huduma za afya na elimu bora...”


Source: Mwananchi


Bange bange bange imesabavisha babu ajikoroge
banage bange bange akazidisha stim na kuropoka twety pacent
Ujakosea naona dr slaa kaota ndoto mchana
 
Sheria za dini zinakataza mtu kufanya mapenzi na mwanamke au mwanaume ambaye sio mke/mume wako. Mzee Slaa hajawahi kuwa na ndoa, ila kila mara amekuwa akibadilisha mahawara kitu ambacho ni kinyume na maadili ya dini. Asante.

Mkuu wa kaya ameshawalala wanawake wangapi ambao c wake zake?
Ana watoto wangapi wasitambulika rasmi na jamii?
Wewe mwenyewe umewahi kuzini mara ngapi?
Ki Kapu je?
Acha hizo uzinzi ni wangapi wanaufanya na bado ni viongozi?
Kina H. Mwiny mbn walizalisha wahudumu wa pale mahali?
Dhambi umeiona ni uzinzi tu?
Hilo ni lake na Mungu wake wewe ni nani wa kulihoji?
Wizi wa mali za umma unaosababisha vifo vya wajawazito na watoto ni sawa ?
 
Mkuu wa kaya ameshawalala wanawake wangapi ambao c wake zake?
Ana watoto wangapi wasitambulika rasmi na jamii?
Wewe mwenyewe umewahi kuzini mara ngapi?
Ki Kapu je?
Acha hizo uzinzi ni wangapi wanaufanya na bado ni viongozi?
Kina H. Mwiny mbn walizalisha wahudumu wa pale mahali?
Dhambi umeiona ni uzinzi tu?
Hilo ni lake na Mungu wake wewe ni nani wa kulihoji?
Wizi wa mali za umma unaosababisha vifo vya wajawazito na watoto ni sawa ?

Achana nao hawa MSALANI na Lizaboni nimewauliza, DR aliishawachapa NAO hawajibu, maana yake ni ukweli na wanachofanya hapa ni kuleta mambo ya mapenzi humu kitu ambacho sio sahihi.
 
Wewe ni zaidi ya kilaza,unatujazia server bure kwa ubwabwa wako hapa unaonyesha ulivyo na chuki na uislam huna lolote

Give facts. Toa sababu yote niliyoyaongea yana rejea "references". Kuhusu chuki na uislamu kamuulize Lipumba ama nenda kwenye You Tube, nenda ofisi zote za serikali idara zote nyeti, rejea matamko ya viongozi wa dini zote Waislamu na Wakristo ndipo uje kuniita Kilaza. Usije kishabiki njoo na hoja.
 
slaa kituko kweli ipo siku atakuja kusema kuwa hata kuiba wake za watu haibi wakati anaishi na mke wa mtu.
 
Achana nao hawa MSALANI na Lizaboni nimewauliza, DR aliishawachapa NAO hawajibu, maana yake ni ukweli na wanachofanya hapa ni kuleta mambo ya mapenzi humu kitu ambacho sio sahihi.

wewe umalaya wako ndiyo unakusumbua sijui ushoga ulianza lini naona unawaza ujinga tu mda wote.
 
Duuh, hii kali kweli kweli na maana yake ni kuwa polisi na Jeshi vinalazimika kumtii Amiri Jeshi mkuu kwa baasi tu lakini kmwe hayumo ndani ya mioyo yao!!

Katika utafiti wangu,nimethibitisha pia kuwa hata kwenye kambi za jeshi karibu zote mzee wa kazi Dr W.P Slaa alimpiga kwa mbaaali sana "Mr Dhaifu" na inasemekana kuwa kuwa kwa kura alizoambulia huyu katika vituo vilivyoko kwenye Barracks za jeshi na police ni zile za maofisa wa ngazi za juu tu wachache wa kuteuliwa mfumo!!

Lakini asikudanganye mtu hawa askari wa ajira za kawaida hasa wa jeshi la polisi wako upande wa wananchi. Ukikuta wanagawa kipondo kwa wananchi eneo flani ujue wanatii amri tu na hawana namna kwa sababu wanaishi kwa kazi hiyo wao na familia zao na kanuni za kazi yao zinawataka wafanye hivyo!!

Hata mimi natambua kuwa Jakaya Kikwete hakushinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 ndiyo maana hajiamini na utawala wake unayumba kuliko tawala zote zilizowahi kutokea,na ni kwa sbb hana uhalali wa umma anaouongoza,ni Rais wa kikundi flani kidogo tu cha watu wanaodhania wana nguvu sana kuuzidi umma. Na wamshukuru Mungu sana kwani hajataka kuruhusu baya lolote kutokea dhidi ya utawala wake huu dhalimu na hii si kwa sababu nyingine yoyote labda wajione wao wana uhalali,walishinda uchaguzi kihalali...la hasha, bali Mungu huyu mwenye enzi ameruhusu waovu hawa kuendelea kupumua na kufurahia uovu wao ingalau kwa sasa ili wana wa Mungu (wana wa nchi hii) wasipate taabu,wapite na kufika salama kule anakokusudia kuwapeleka, nchi ya Kananii!!

Lakini uvumilivu wa Mungu umeshafikia kikomo na tayari amekwisha kuandaa mpango maalumu wa ukombozi kwa watu wake na ameshawaonesha wadhalimu hawa na kuwambia kwamba utawala wenu uko ukingoni......ndiyo maana haya tunayoyaona sasa yanatokea, ndiyo maana wanapambana mpaka tone lao la mwisho lakini hiyo ni kazi bure tu kwa sababu Mungu kamwe hawezi kushindana na wanadamu....Lakini hayana madhara kwa sababu mpango wa Mungu ni madhubuti na hauna madhara kwa watu wake wasio na hatia!!

mbona polisi mda wote wako chadema hukumbuki walivyomnusuru kipigo slaa akiwa kigoma.
 
wewe umalaya wako ndiyo unakusumbua sijui ushoga ulianza lini naona unawaza ujinga tu mda wote.

Mi nilikuwa naouliza hao wenzio sababu ndio walioleta habari za uzinzi wa DR Silaa humu, na nimeamua kuwauliza sababu ni muda mrefu nimekuwa nikiwaona wakidai kwamba ni Padre Mzinzi kiasi kwamba na mimi nimeamini hivyo.

Kwa hiyo kama kuzungumzia hayo ni ujinga, waeleze wao kwanza, mi niko nimepumzika na mke wangu watoto wako wanacheki TV, Kwa kifupi nimetulia njia kuu unless uwe na urembo wa haja, siwezi kueleza kama sintokutongoza au la.
 
slaa alishinda urais wa bawacha tumpeni hongera.
 
Mi nilikuwa naouliza hao wenzio sababu ndio walioleta habari za uzinzi wa DR Silaa humu, na nimeamua kuwauliza sababu ni muda mrefu nimekuwa nikiwaona wakidai kwamba ni Padre Mzinzi kiasi kwamba na mimi nimeamini hivyo.

Kwa hiyo kama kuzungumzia hayo ni ujinga, waeleze wao kwanza, mi niko nimepumzika na mke wangu watoto wako wanacheki TV, Kwa kifupi nimetulia njia kuu unless uwe na urembo wa haja, siwezi kueleza kama sintokutongoza au la.

Huna lolote unaonekana mtu wa kujiuza sinza makaburini kabisa wewe ndiyo biashara uliyozoea wewe.
 
we mburula soma gazeti la habari leo ndiyo useme haya unayosema nenda kwenye kijiwe cha magazeti pata nakala yako ya gazeti la leo halafu uone ulivyo mjinga na ukawa yako.

hivi nani ana mda wakusoma magazeti ya udaku,kama habari leo,na uhuru?watu makini hayo magazeti tunayaita majanga.
 
Hii ni mujibu wa Ibara ipi ya Katiba? au ndio mnataka kupandikiza mbegu za udini?

Kwa kifupi ni kwamba kama amekwisha wapanda mtafutane mmalizane huko huko mlikokutana nae kwanza, mbona wakati mnamgonolea hamkuja huku kupiga kelele, Kama umenielewa nadhani kuanzia leo naweza kuanza kutegemea unapost humu mambo ya maana. Au mlitegemea hatokuja kutulia na baby wake anayempenda abaki kuwatafuna nyie tu? tumbafu nyie.

kama mna hamu leteni kwangu nipige mashine hizo

umenielewa?

Leo umejidhalilisha sana,

Unaporomosha matusi hivi kwa ajili ya kumtetea BABU?
 
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kuwa kinaamini kilishinda uchaguzi wa rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 chini ya mfumo wa vyama vingi.

.



ulikuwa wapi siku zote

Kadiri nilivyozunguka, ndiyo kadiri tulivyoanza kuamini kwamba tulishinda,” alisema Dk Slaa. Kadiri nilivyozunguka, ndiyo kadiri tulivyoanza kuamini kwamba tulishinda,” alisema Dk Slaa..


hii dalili ya mtu anaekaribia kufungwa kamba kwasababu ya wazimu.

Mara ya mwisho niliponea chupuchupu, ndiyo akili ikafunguka. Hukumu ilitolewa niwafungulie CCM kesi ya kughushi. “Kwa sababu mahakama ilikuta kura zaidi ya 5,000 kupitia fomu namba 21b (result form) siyo sandukuni ndipo walipoibia, lakini kwenye matangazo ya awali nilishinda kwa kura 1,060, wamekwenda mahakamani wakasema wamenishinda kwa kura 177.


Tazama anavyoyakoroga maneno kwani siku zote mzee ulikua wapi?

Alipoulizwa kama wanaelewa kura zinavyoibwa kutokana na malalamiko ya mara kwa mara ya Chadema na vyama vingine vya upinzani, Dk Slaa alisema:

“Watu wengi wanafikiri huo ni wimbo tu wa kila siku, sasa kama tunaibiwa tunyamaze? Tuseme uongo kama hatukuibiwa kura…? Hakuna uwanja sawa katika uchaguzi.


Kama ulijijua hauna ushahidi kwanini unakurupuka? alafu huko mahakamani ungewashitaki kwa kosa gani?

Kwa taarifa yako nina taarifa ya mkaguzi aliyewauliza CCM orodha ya wanachama wake ikashindwa kutoa. Kama hawana orodha ya wanachama, hiyo milioni sita wanaitoa wapi? Uongo, ‘nawachalenji’ watoe hadharani….”

“Ushahidi wa pili, kujua kama una wanachama ni uhai wa wanachama. Taarifa ya CCM ya 2010 inaonyesha kwamba walikuwa wanapata kutoka kwa wanachama wao Sh9 bilioni za kadi kama ada, zimeshuka hadi Sh2 bilioni, utahesabu ni wangapi hao. Wasitudanganye…, tuna vyanzo vingi vya kupata taarifa.

Mimi sitakupa leo nina wanachama wangapi kwa sababu tunafunga kompyuta kwenye kila kanda, jimbo na kata, tumeanzisha ‘data base’ baada ya kukamilika nitakwambia tuna wanachama wangapi,” alisema na kuongeza:

“Uongo wa CCM usikudanganye kwamba nguvu yao ni wanachama, kama nguvu yao ni wanachama, uchaguzi haupigiwi kura na wanachama, kura zinapigwa na wapigakura, wananchi wanaotaka huduma kwa sababu wanalipa kodi.

Wanapiga kura ili wapate kiongozi ili asimamia kodi zao, waondokane na maisha magumu, wapate huduma za afya na elimu bora...”.



kama ndio hivyo vipi kuhusu kalenga na chalinze vipi kuhusu chopa3 kata3 pole sana kwa ulikuja kwa upepo na hatimae umeondoka kwa upepo.
 
ushauri wangu amrudishe kwa mwenyewe yule nanihii.
 
Back
Top Bottom