Dk.Slaa: Tulishinda urais mwaka 2010

Dk.Slaa: Tulishinda urais mwaka 2010

ushauri wangu amrudishe kwa mwenyewe yule nanihii.

Silaa mungu akulinde akika maneno yako yamejaa busara na hekima kubwa,hakika unastahili kuwa rais ya nchi ya watu wajinga na wezi kama wanaosapoti chama cha mababu zetu ccm
 
Kwanini tume ilizuia kutangaza matokeo ya urais vituoni mara tu baada ya matokeo ya mwanzo kutangazwa?, sheria zinaruhusiwa kubadilishwa katikati ya mchezo?
 
Mmmh! Yaani Dr mzima anaqualify ushindi kwa kurejea matokeo ya majimbo mawili? Hivi nchi hii hawa jamaa wataipeleka wapi? Ina maana kuwa hana hoja kabisa na hakuna tukio kabisa.
 
Back
Top Bottom