MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Usalama ulimsaidia kikwete kushinda kumnusuru na aibu kwakuongoza kipindi kimoja na kuanguka vibaya na kuwa raisi wa kwanza tz tena msilamu kuongoza nchi kipindi kimoja tu. Kikwete alihaha akuomba nakuaidi atawaongeza mshahara tunajua kama msalini hujui wewe ni mchanga kwenye siasa subiri ukue utajua.
Hata kwenye ubunge usalama wa taifa uliwasaidia? Mbona CHADEMA ilipata wabunge 23 tu? Uongo hauna marefu!