Dk.Slaa: Tulishinda urais mwaka 2010

Dk.Slaa: Tulishinda urais mwaka 2010

DR akiongea kama haujaenda shule, au haujala ukashiba unaweza usimuelewe, point yake moja inacover mambo mengi sana. Huyu DR ni Tunu ya Taifa letu.
 
Umeonae, huyu mzee ameanza sarakasi za kuelekea 2015, safari hii wasimlegezee na kauli zake za kipumbavu

Safari hii hatuwaregezei nyie, tumejipanga, Mtakula kichapo kila kona, kwenye box la kura na vichapo juu, msidhani tutawaondoa madarakani alafu muondoke hivi hivi, tutawatandika kwelikweli muondoke mnalia, tumbafu nyie.
 
Kwa mbinu zile zile za wizi wa kura na tume MBOVU ya uchaguzi ... 2015 kazi ipo! ...
 
Anayoyasema Dr. Slaa uenda yakawa ya ukweli, lakini jambo ambalo limekuwa likinishangaza ni kwanini mpaka sasa Chadema haija iburuza tume hiyo mahakamani kutokana na wizi huo. Ni kweli, katiba ya sasa inatamka wazi ya kwamba tume ikishamtangaza yeyote kuwa ndiye mshidi wa kiti cha uraisi uamuzi wake huo haupashwi kuhojiwa na chombo chochote kile. Hata hivyo kwa mtu mwenye busara bado anaweza akaiweka tume katika kiti moto kwa kutumia njia mbali mbali: Kwa mfano, leo hii CCM inapata ruzuku kutoka serikalini kiasi cha mara nne hivi ikilinganishwa na ile wanayolipwa Chadema. Jambo mojawapo linalosababisha kuwepo kwa hali hiyo, ni kura za uraisi zinazosemeka Kikwete alipata ikilinganishwa na zile zinazosekana alipata Dr, Slaa. Katika hali hiyo kuna kila sababu Chadema kufikisha tume hiyo mahakama kwa kusababisha Chadema kulipwa ruzuku kiduchu ikilinganishwa na kiwango halisi walichostahili kama moteo hayo yasingelichakachuliwa.
 
Kuna gazeti moja la kila wiki nahisi kama kumbukumbu zangu ziko sawa Raia Mwema, kama nitakuwa nimewasingizia wanisamehe, walieleza namna jinsi watu wa usalama walivyojifungia Kempiski kuchakachua Matokeo na Mkuu wa kaya kupata asilimia 60 ya kura zote kwa madai nchi ilikuwa haijajiandaa kwa ajili ya ujio wa chama kingine na kigezo cha usalama wa nchi na watu wake. Zanzibar CUF ilishawahi kushinda jamaa wakachakachua na inajulikana mpaka kituo kimoja cha Televisheni kiliwahi kufungiwa, gazeti la Majira likapigwa marufuku Zanzibar, Bakhressa akachomewa unga wake n.k Huku tunaona Tido wa TBC alivyopigwa chini. Zote hizi ni nadharia dhanifu(hypothesis) katika kujenga hoja wadau mpo huru kunikosoa pale ambapo sipo sawa ama nikiwa nimedanganya. JK amechangiwa sana na udini ambao utamtafuna mpaka aingie kaburini ameigeuza nchi kuwa United Islamic Republic of Tanzania. Sasa hivi anahangaika na hao vikasuku vyake kumsafisha. Na kama huamini anzisha kikanisa chako hata mtaani cha watu 10 zindua kitu kama harambee ya uongo na kweli mwalike kama hajaja hii ni katika kuudanganya umma wa Watanzania kuwa yeye sio mdini. CDM walipoanza kupamba moto wakadai CDM ni chama cha Kikatoliki wakamwandama mpaka Kardinali wakisema ni muuza madawa. Kiongozi wa CUF akaenda msikitini akidai kwamba imewalazimu wao kumtetea JK kwa sababu ni Muislamu mwenzao. Hili nalo liliwapunguzia sana kura CCM na litawamaliza 2015 kama CDM wakijipanga sawa sawa bila hata ya hao UKAWA kwa sababu CUF ni wanafiki na wamejijenga kimtindo wa udini ni chama cha waislamu hata hao wenye majina ya Kikristo ni Waislamu. Muulizeni W. Lwakatare chanzo cha mgogoro CDM na huyo mwanasiasa kijana umechangiwa kwa kiasi fulani na CUF kupitia CCM na ujio wa Lwakatare CDM.

Kwa CCM Dr Slaa bado ni tishio kubwa kwao na naweza kusema anawanyima usingizi. Mara wamzushie kafa, mara wadai kachukua mke wa watu, mara kudai alikuwa padri na siasa kibao za maji taka bado hawatamweza. CCM ni chama kinachopoteza mwelekeo na kitaanguka kama chama cha KANU kule Kenya ambao waliendekeza ukabila ambao unawatafuna mpaka leo.

Tutamlaani JK kwa kuendekeza Udini katika nchi yetu , Udini ambao unahatarisha amani ya nchi yetu na CCM itakufa kwa mtindo huo. Upinzani mnatakiwa msimame na CDM kama CDM kihakikishe mmeshika dola mwaka 2015. Habari za usalama wa nchi, CDM chama cha "wakristo" tena wakatoliki (JK hana aibu na wala fadhila kwa wakatoliki waliomsomesha shule za awali na kati huko Msoga kwao), kuwa CDM chama cha kikabila"Wachagga" hazina hoja wala mantiki kwenu nyinyi kama chama kilichodhamiria kuishika dola na mtashangaa hao hao CCM watakihama chama chao na kuja kujipendekeza CDM kwa kigezo cha madaraka.


Mwisho ni swali kama mtindo ni huu wa kuchakachua, kuna umuhimu gani wa kuwa na upinzani nchini?

Wewe ni zaidi ya kilaza,unatujazia server bure kwa ubwabwa wako hapa unaonyesha ulivyo na chuki na uislam huna lolote
 
Duuu Dr Slaa anaumwa kabisa uangalizi wa karibu una hitajika!

Hata kalenga na chalinze ni wazi waliibiwa na uslama wa taifa.

Hakuna kiongozi muongo kama slaa!sijui huo uongozi wa dini alipataje?

" Kuna bomba la gas limepitishwa baharini kuiba gas kupeleka ulaya-Dr slaa "
 
Ndivyo itakavyotokea 2015. Hakuna atakayewapa dola ilhali kila kukicha mnavitukana vyombo vya dola
 
Duuu Dr Slaa anaumwa kabisa uangalizi wa karibu una hitajika!

Hata kalenga na chalinze ni wazi waliibiwa na uslama wa taifa.

Hakuna kiongozi muongo kama slaa!sijui huo uongozi wa dini alipataje?

" Kuna bomba la gas limepitishwa baharini kuiba gas kupeleka ulaya-Dr slaa "
Mkuu, ukisikia mtu anazeeka vibaya ndo kama huyu Padre Mzinifu
 
Maneno ya BABU yana mkanganyiko mkubwa.

Juzi kwenye Press conference alikiri kuwa hawakuwa tayari kushika dola kwa sababu walikuwa kiharakati zaidi.

Ila sasa wamevua uanaharakati na kujiunga na siasa na sasa wako tayari kushika dola hapo mwakani.

Sasa hili la ushindi 2010 anamdanganya nani?

Hapa anazungumzia mpambano kati yake na Mkware wa Msoga.
 
Ndivyo itakavyotokea 2015. Hakuna atakayewapa dola ilhali kila kukicha mnavitukana vyombo vya dola

wameishiwa hawana jipya. wamedoda kama mchuzi wa uduvi.wamepwaya kama chupi ya mkwiji.

Mzee bedui kwisha kazi,
 
Duuu Dr Slaa anaumwa kabisa uangalizi wa karibu una hitajika!

Hata kalenga na chalinze ni wazi waliibiwa na uslama wa taifa.

Hakuna kiongozi muongo kama slaa!sijui huo uongozi wa dini alipataje?

" Kuna bomba la gas limepitishwa baharini kuiba gas kupeleka ulaya-Dr slaa "

Gas aliyosema Kilagane imeliingizia taifa trilioni5 imepitia wapi mburula wewe?
 
Kamanda naona hapa unamtetea Dr.W.Slaa.

Simtetei, natambua namna mnavyomfahamu kwa undani, aina ya chuki mnayoielekeza kwake wakati hajawahi kuwa kiongozi wa Taifa hili kama huyo Mzandiki wenu ukizingatia mnamtambulisha humu kama Padre Mzinzi ni wazi aliishawazini pia, au wewe unamaoni gani?

au nyie huwa mnatumia kigezo gani kusema ni mzinzi?
 
CCM ni mkusanyiko wa majini, mapepo, vinyamkera, wanga, wapunga pepo, washilikina, majangili, wezi, majambazi, maharamia, magaidi, mafisadi na watu wote mfano wa chifu Mangungo.

Kwa ufupi CCM ndo SHETANI mwenyewe hivyo hawana jema wala kamwe hawawezi kusifia jema bali uovu wa kila aina wanaoufanya ndo kitu wanaweza kutetea na kukishangilia hata kama nao wanaumia kutokana na uharamia wao.
 
Simtetei, natambua namna mnavyomfahamu kwa undani, aina ya chuki mnayoielekeza kwake wakati hajawahi kuwa kiongozi wa Taifa hili kama huyo Mzandiki wenu ukizingatia mnamtambulisha humu kama Padre Mzinzi ni wazi aliishawazini pia, au wewe unamaoni gani?

au nyie huwa mnatumia kigezo gani kusema ni mzinzi?
Sheria za dini zinakataza mtu kufanya mapenzi na mwanamke au mwanaume ambaye sio mke/mume wako. Mzee Slaa hajawahi kuwa na ndoa, ila kila mara amekuwa akibadilisha mahawara kitu ambacho ni kinyume na maadili ya dini. Asante.
 
Sheria za dini zinakataza mtu kufanya mapenzi na mwanamke au mwanaume ambaye sio mke/mume wako. Mzee Slaa hajawahi kuwa na ndoa, ila kila mara amekuwa akibadilisha mahawara kitu ambacho ni kinyume na maadili ya dini. Asante.

Hii ni mujibu wa Ibara ipi ya Katiba? au ndio mnataka kupandikiza mbegu za udini?

Kwa kifupi ni kwamba kama amekwisha wapanda mtafutane mmalizane huko huko mlikokutana nae kwanza, mbona wakati mnamgonolea hamkuja huku kupiga kelele, Kama umenielewa nadhani kuanzia leo naweza kuanza kutegemea unapost humu mambo ya maana. Au mlitegemea hatokuja kutulia na baby wake anayempenda abaki kuwatafuna nyie tu? tumbafu nyie.

kama mna hamu leteni kwangu nipige mashine hizo

umenielewa?
 
"Sababu, unafika kwenye jimbo wanakusomea kura ulizopata katika uchaguzi ule wakizilinganisha na alizozipata Kikwete na Profesa Ibrahim Lipumba… wanasema Dokta hapa ulimshinda… kwa kura 20,000, pale ulimshinda kwa kura 15,000 pale ulimshinda kwa kura…,".Huu ndo uthibitisho kuwa alishinda. Kasoro kubwa ya huyu babu ni kupenda kuambiwa lile linalompendeza sio ukweli. Kama walishinda wakiwa Kama Chadema kwa nini wasioongeze ulinzi wa kura badala ya kujiunga na UKAWA, au ukawa na Mgambo wa kulinda kura zake.
 
Back
Top Bottom