Dk Slaa: Sina mpango wa kuwania Ubunge Arumeru

Dk Slaa: Sina mpango wa kuwania Ubunge Arumeru

vita vina mbinu nyingi na vikosi vingi,cdm kama jeshi linajua propaganda zote za vita.
ni kikosi gani kitangulie.
ni silaha gani zitumike kwa wakati gani.

kwa arumeru chama kitatumia busara kwani uzoefu umeonyesha zikirudiwa chaguzi ndogo tano ccm itafilisika kwa sababu inatumia umasikini wa watanzania kununua kura.

igunga iliyokuwa ngome yao walinunua kura moja kwa tsh 200000, arusha ni ngome ya cdm pamoja na kuwa jimbo lilikuwa lao,hapa tunategemea watanunua kura moja kwa tsh 5000000 sasa zidisha mara wapiga kura 50000 wa jimbo la arumeru jibu utalipata.

500000*30000=15000000000.
 
Bahati yake kaona mbele, hii ndio ingekuwa pigo la pili kwake.
Dk. WPS hafanyagi kazi kwa kubahatisha kama unavyodhani/kama magamba wanavyofanyaga kazi zao. Tunapomwita Slaa ni mtu makini huwa hatuiti tuu kwa kuwa ni mazoea. We mean it.
 
hapo ulipo leta udini duu naona unataka kutuletea UMWANAASHA. naona fikra zako mwenyewe zinapingana, kuwa walete mtu yeyote, mara msilete mwislamu!. Mkuu, mi naona jipange upya alafu ulete thread tena.

mh umwanaasha tena?
 
Hii ndio faida ya kutegemea mtu mmoja katika chama. Muacheni babu wa watu, asije akadhalilishwa kwa mara nyingine, kipigo cha nyani alikipata 2010 na mpaka sasa bado analamba madonda.

Mwanaasha JK at work
 
Hii ndio faida ya kutegemea mtu mmoja katika chama. Muacheni babu wa watu, asije akadhalilishwa kwa mara nyingine, kipigo cha nyani alikipata 2010 na mpaka sasa bado analamba madonda.
Kama wewe sio mfwatilia ji wa mambo ya siasa unaweza andika haya uliyoyaandika, ila kwa sisi tunaofwatilia siasa za Tanzania, tunajua kilichofanyika 2010 na hata Jk mwenyewe anajua kilichomtokea 2010 na alichofanya 2010 anakijua. Tunawaomba muendelee kujifariji na ushind wenu bandia ili 2015 muone nini kitatokea.
 
After being put down by JK in the previous presidential vote, Slaa's appetite for public post seems to have been severely wrecked. That literally was the final time the priest-turned-politico ever contested election. Mbowe should get himself prepared to bear party's flag in the forthcoming poll because it is virtually impossible to prevail upon Slaa to re-think his decision. ,

Ndio sababu tangu mwanzo nimekuwa nikiamini kwamba wanaopendekeza Dr. Slaa agombee ubunge arumeru mashariki ni wanachama na mashabiki wa ccm, na hii inaonekana wazi ni kitu kilichotengenezwa na ccm ili kuwahadaa wanachadema wasiokuwa na uwezo wa kupima mambo kwa kina nao wanajikuta wanashabikia huu uchawi wa ccm kutaka Slaa akagombee arumeru, hawajui kwamba ccm wanamipango yao ambayo wanataka kuitekeleza kwa kutumia mgongo wa SLAA.

Binafsi nampongeza sana Dr. Slaa kwa kusisitiza kutogombea arumeru na kuwakata ngebe ccm.
Mimi nasema JOSHUA NASSARY FOR ARUMERU EAST CONSTITUENCY!!
 
Nakumbuka Slaa, alisema atagombea kipindi kimoja tu kumbe bado anautamani Urais.
Maneno ya Dk Slaa kuutamani urais umetokanayo wapi??Soma vizuri hakuna mahala alipoongolea urais. Amesema hatogombea Arumeru kwani hawezi kujifungia Arumeru, anahitaji kuwa huru ili kuwaelimisha watanzania wote kwa ujumla ili 2015 CDM kipate Wabunge wengi.
 
Hakika Dr. wa ukweli umenena na umefanya maamuzi mazuri sana, kwakua Nape Mnauye amekiri mbele ya viombo vya habari kua walikua wanakesha na kusali kumuomba Mungu eti Dr.Slaa agombee na akadai eti angechukua form tu basi 2015 ndio mwisho wake! Kumbe Nape mnamkubali Dr. sio? basi imekula kwenu na pia mkae mkijua kua kule Meru hawana shida ya njaa kama mlivyofanya kule Igunga mlipopeleka magunia ya mahindi! Hizi ni salamu zangu jumamosi ya leo kwako Nape!
 
Maneno ya Dk Slaa kuutamani urais umetokanayo wapi??Soma vizuri hakuna mahala alipoongolea urais. Amesema hatogombea Arumeru kwani hawezi kujifungia Arumeru, anahitaji kuwa huru ili kuwaelimisha watanzania wote kwa ujumla ili 2015 CDM kipate Wabunge wengi.

Mkuu, hayo maneno unauliza yametoka wapi tena! Ni maneno ya Slaa alioyatamka wakati ameombwa kugombea urais 2010.

Mkuu, kwani huwezi kuwaelimisha watanzania huku upo kwenye nafasi ubunge? Mbona kina Zitto, Mbowe, Mnyika, wote ni wabunge lakini wanapata nafasi ya kuwaelimisha watanzania.
 
Chadema ni chama chenye kuona mbali sana na nina uhakika mwaka 2015 Kitachukua nchi maana CCM wameshindwa kuwawajibisha mafisadi wao eti kinawaomba watafakari!! Sasa sisi tunasema CCM wawakumbatie mafisadi wao na Chadema kiwakumbatie wananchi.

Arumeru sasa tumeamua hatutachagua mtu bali tutachagua chama na chama chenyewe ni CHADEMA. Kwahiyo nyie msiumize kichwa tuleteeni mtu yeyote lakini asiwe muislamu. Sio kwamba hatutaki uislamu au tunawachukuia hapana kwani tunajua sote tunaabudu mungu mmoja ila tu kwasababu ya culture na eneo letu na ushawishi kwa mama zetu.

Kila mpenda amani anaipenda CHADEMA na tunaamini ukitaka maendeleo ya kweli ni lazima ubadilike kwani tukiendelea kuchagua CCM tutapata yaleyale ambayo hatujaridhika nayo.

CHADEMA Hoyeee.....
Are U Magamba? Mbona unaweka Udini Mbele?
 
Mkuu, hayo maneno unauliza yametoka wapi tena! Ni maneno ya Slaa alioyatamka wakati ameombwa kugombea urais 2010.

Mkuu, kwani huwezi kuwaelimisha watanzania huku upo kwenye nafasi ubunge? Mbona kina Zitto, Mbowe, Mnyika, wote ni wabunge lakini wanapata nafasi ya kuwaelimisha watanzania.

Slaa ni tofauti sana na uliowataja juu.Hadhi ya Slaa kwa sasa ni Urais basi.
 
Chadema ni chama chenye kuona mbali sana na nina uhakika mwaka 2015 Kitachukua nchi maana CCM wameshindwa kuwawajibisha mafisadi wao eti kinawaomba watafakari!! Sasa sisi tunasema CCM wawakumbatie mafisadi wao na Chadema kiwakumbatie wananchi.

Arumeru sasa tumeamua hatutachagua mtu bali tutachagua chama na chama chenyewe ni CHADEMA. Kwahiyo nyie msiumize kichwa tuleteeni mtu yeyote lakini asiwe muislamu.

MAGAMBA AT WORK AGAIN. NAPE KAPATA PESA YA KUWALIPA EEH! NAONA MMERUDI
 
After being put down by JK in the previous presidential vote, Slaa's appetite for public post seems to have been severely wrecked. That literally was the final time the priest-turned-politico ever contested election. Mbowe should get himself prepared to bear party's flag in the forthcoming poll because it is virtually impossible to prevail upon Slaa to re-think his decision. ,

Wacha u bogus wewe? Hivi ushaclear supplimentary yako ya IT pale SJUT...Dr tylor alikushika ******
 
There is no way that Dr. WPS will contest in any sub election. Kwa sababu status quo yake ni kubwa kuliko hizo sub election kama unabisha chukua bango ingia road andamana watu wakucheke.

Dr. ni rais wa mioyoni mwa watz na anaongoza akiwa nje ya magogoni hiili hata Baba Mwana analitambua na magamba wote wanalitambua
 
Nape: Mleteni Slaa Arumeru

  • asema CCM wanakesha wakiomba aruhusiwe
  • adai akikubali watakuwa wamemaliza kazi 2015
Source TZ Daima

Q: Slaa kaogopa?
 
Umeandika ki Faiza Foxy bibie

Umeona ee!!
FF toka alipoumbuliwa kuwa ni mfanyakazi wa Ikulu, tena yupo Kurugenzi ya habari na alipoajiriwa aliajiriwa kwa title ya ..... basi akaingia machakani. Sasa hivi anakuja kwa ID mpya.

IKULU mnalo!!
 
Exactly! I expected such an answer from the allmighty His excellence Dr.WPS.


Temilugoda, so now Dr. Slaa is referred to as "the Almighty, His Excellency?" Please confirm. Do you think Dr. Slaa himself would like that?
 
Back
Top Bottom