Kweli ni PUMBA! LAKINI UNAPOMUITA MZINZI ASKOFU NDIPO NA WEWE UNAPOJIKANYAGA! MAASKOFU WAKINA PENGO BWANA! KWA USAFI WAO HATA WAKIKOHOA WAOVU WANATETEMEKA!
Samahani mkuu kwa kukosea, hivi hilo joho alilovaa, linavaliwa na kiongozi mwenye cheo gani?
Kweli ni PUMBA! LAKINI UNAPOMUITA MZINZI ASKOFU NDIPO NA WEWE UNAPOJIKANYAGA! MAASKOFU WAKINA PENGO BWANA! KWA USAFI WAO HATA WAKIKOHOA WAOVU WANATETEMEKA!
Ndiyo ujiulize kwa nini wanaachwa MAHAKAMANI wakati POLISI ndiyo wanaofanya upelelezi. MAHAKAMA nazo zimegundulika zimejaa mahakmu wachagga. Haiwezekani LEMA anafanya uhaini tena wenye ushahidi wa maandishi , mahakama zinamuachia.
umechanganyikuwa green guard kwa ufadhili wa wachina wanaendesha mauaji nhhini nzima na mwenyekiyi anawapa vyeo mwigulu kamuhanda ahmad nsangi gai ni baadhi ya waliopandishwa vyeo baada ya kuhusishwa ba utekaji utesaji na mauaji
mwongo mkubwa ni kizee jakaya kikwete utamsikia ni majina ya wauza unfa majina ta majangiri kumbe familia yake ndugu na rafiki zake wanahusika anaweweseka kuwatajaHakuna kizee kiongo duniani kama Slaa. Kizee cha siasa za matukio,haya sasa kimepata mtaji kwa kupindisha kauli ya Mhe JK! Haya kazi kwenu bavicha, chagueni mfuate maneno ya Lema or ya Kibabu Slaa.
Je, JK angewashauri nini Wakristo ambao makanisa yao yamechomwa moto lakini wametulia. Mapadri wao wameuwawa lakini wametulia! Wengine wamemwagiwa tindikali lakini wamevumilia. Wamepigwa mabomu wakiwa katika ibada lakini bado wamevumilia! Je angeweza kuwaambia kuwa sasa uvumuliuvu basi kwa kuwa una kikomo? Angewaambia waache unyonge?
mpango wa kijinga wa mwenyekiti wako wa ccm na naibu katibu mkuu uliwaacha uchi hamna akili hamuwezi kupanga hata propagandaHetu tujikumbushe hii video ya bukoba boys ya huyu GAIDI
umechanganyikuwa green guard kwa ufadhili wa wachina wanaendesha mauaji nhhini nzima na mwenyekiyi anawapa vyeo mwigulu kamuhanda ahmad nsangi gai ni baadhi ya waliopandishwa vyeo baada ya kuhusishwa ba utekaji utesaji na mauaji
jadili mada kikwete aingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewebabuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!! mzeee wa ndogo
mwambie first lady wa kuazima apunguze mkorogo
Huo ndio uwezo wa Kikwete na ccm wote ulipofikia! muhimu ni kuwangoa tu! kwa ujumla huwezi kutawala nchi twiga wanasafirshwa hai,rais anakutana na wezi wa EPA unadanganya eti pesa zimerudishwa na wamekukabidhi kumbe uongo tu,huwezi kusaini mkataba tata wa tangu Richmund-Dowans-Symbioni ikulu,huwezi kuagizi jeshi,polisi,vikosi vya wanyamapori viuwe watu na Kinana jambazi mkuu wa tembo abaki,huwezi kutawala nchi kwa kuwauwa watu wa mtwara waliokuwa wanadai haki ya kujua gasi itawanufaishaje, na mengine mengi kama ulagai uliokwenye mafuta mazito yanasafirishwa na magari ya Rithiwan,hospitali hazina dawa,elimu imeshuka SASA WEWE UNAYESEMA NCHI INATAWALIKA ITATAWALIKAJE=====NI DHAIRI KWA HAYO YOTE NCHI HAITAWALIKI! tAKA USITAKE Dr. Slaa ni nabii na Rais wa mioyo ya watu!
Ajabu na kweli yaani umemuona kiongozi wa chadema hujamuona wa CUF wala Mhadhiri wa UDSM!CHADEMA wajanja sana wanataka tumia huo mwanya kuua watu.
Huyu nae akamatwe
au labda Rais katumwa.. Baada ya kushindwa kutuvuruga ki dini,wameamua kuja hivi.
endelea kumfurahisha kikwete anayeingiza nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe akumbuke msoga atapaona kama sayari ya mercury raisi anatangaza kupambana na wananchi wake zinamtosha kweluUnapayuka kama mbayuwayu, huna hata pozi, unawaza gongo na damu za watu ili umfurahishe Slaa na Lema, na siasa za matamko na matukio! Vipi Mbowe bado hajatoa tamko?
Ajabu na kweli yaani umemuona kiongozi wa chadema hujamuona wa CUF wala Mhadhiri wa UDSM!
au labda Rais katumwa.. Baada ya kushindwa kutuvuruga ki dini,wameamua kuja hivi.
Unayosema hapa na signature yako tofauti kabisa.....unahitaji maombezi ya hali ya juuCHADEMA mmeacha viroba mmehamia huku? kwa nini msilaani kauli za nchi haitatawalika ya SLAA?
View attachment 139702
mbona hili suala la dini CHADEMA mnaliongelea sana, nini ilikuwa lengo lenu?