acha upuzi agenda ya mwenyeki wa ccm unaihamishia chadema kaombe marejeo ya kauli ya kikwete tbccm kasema na kutangazia taifa hajijui anachosema ndio maamuzi lazima wananchi watekeleze miundu visu majambia mapanga yananolewa hakuna atakayekuwa mnyonge sera za ccm za mauajiWe vipi? Mbona umeng'ang'ana na neno, "vita ya wenyewe kwa wenyewe", Kauli hii kaitoa nani na wapi? Au ndio ajenda yenu chadema? Yaani inawezekana vipi we uwe hujamdhuru mtu, unafanya siasa zenye kufuata demokrasia na sheria halafu akaja mtu akamwaga damu yako! Labda huo ndio mpango wenu chadema. Mnahofu pengine ccm itajilinda basi mnalalama kutwa kucha humu Fb, acheni mawazo ya laana hayo!