Last edited by a moderator:
Je, JK angewashauri nini Wakristo ambao makanisa yao yamechomwa moto lakini wametulia. Mapadri wao wameuwawa lakini wametulia! Wengine wamemwagiwa tindikali lakini wamevumilia. Wamepigwa mabomu wakiwa katika ibada lakini bado wamevumilia! Je angeweza kuwaambia kuwa sasa uvumuliuvu basi kwa kuwa una kikomo? Angewaambia waache unyonge?Dr.Slaa yaani nyie mnawapiga mapanga raia na kuwamwagia tindikali muachwe tu.
Propaganda zenu ma ccm inaelekea kuzuri..hatuna cha kupoteza..NTAANZA NA WEWE.Ukipanda mahindi , usitegemee kuvuna mihogo. CHADEMA kuweni wavumiivu tu kwa kuwa wakati mnayafanya haya mliona kama CCM wamelala.
huyo kijana atakuwa amevalishwa nguo za CCM na huyu mzee, kwani bado anazo nyingi tu alizokuwa akizitumia akiwa CCM.
View attachment 139696
Propaganda zenu ma ccm inaelekea kuzuri..hatuna cha kupoteza..NTAANZA NA WEWE.
Wewe unaushahidi kuwa mimi nahusika kwenye mauaji ya wananchi kwenye CHAGUZI? Hao wauwaji mbona wanaachiwa na POLISI tena MAHAKAMANI? Unamkumbuka Marehemu Msafiri Mbwambo aliyekuwa Mwenyekiti wa CDM wa kata ya USA-River huku ARUSHA? Kesi ya watesi na wauwaji wake imeishia wapi pamoja na wahusika kukamatwa na kutoa vidhibitisho vya SILAHA walizotumia? Nyie watu mmepandikiziwa chuki dhidi yetu, na mnachukulia kishabiki kutuonea ndani ya nchi yetu. Usiwe mshabiki wa kitoto.....
View attachment 139694 View attachment 139695
Atakaethubutu kumkamata Dr. W. Slaa nani!? wathubutu waone patakavyovurugika hapa.
kama unakili amri jeshi mkuu kasema hivyo tunakuuliza mbona hakuwaambia wanachadema wasiwe wanyonge makada wao walipouliwa igunga mbona hakuwaambia chadema kada wao alivyochinjwa shingo kwa msumeno na wana ccm mbona hakuwaambia wanachadema walivyorushiwa bomu soweto na wananchi kufa ndani ya kanisa la olasiti kikwete kama hataomba radhi wananchi kwa kauli yaje atawajibika kwa kauli hiyoAcha kumtia maneno Jk wewe. Kakutuma? Hakusema ulivyosema wewe punda. Kasema wazi ccm wajibu mapigo. Kwa sababu wapinzani wao wanavurugu. Katoa mfano wa tindikali na bisibisi. Hizo ni hoja za sera au ni vurugu ? Wewe mburula?
Dr.W.Slaa nasikia ndio mchaguliwa halisi wa kuwakilisha chama katika uchaguzi ujao ngazi ya Urais, if it so then taifa kiukweli limeishiwa na watu wa kuongeza. Sijawahi soma mchango wowote wa ujenzi unaotamkwa na huyu mzee zaidi ya chuki na visasi. Ni kwanini huyu mzee nafsi yake imejaa roho mbaya kiasi hiki? Oh! May be the way Jk alivyomdharau kwa kutojibu vioja vyake ndio hasira zake zinazidi. Ila muovu siku zote huishia aibu na huyu sijui mwisho wake utakuwa wa aibu kiasi gani.
Wewe unaushahidi kuwa mimi nahusika kwenye mauaji ya wananchi kwenye CHAGUZI? Hao wauwaji mbona wanaachiwa na POLISI tena MAHAKAMANI? Unamkumbuka Marehemu Msafiri Mbwambo aliyekuwa Mwenyekiti wa CDM wa kata ya USA-River huku ARUSHA? Kesi ya watesi na wauwaji wake imeishia wapi pamoja na wahusika kukamatwa na kutoa vidhibitisho vya SILAHA walizotumia? Nyie watu mmepandikiziwa chuki dhidi yetu, na mnachukulia kishabiki kutuonea ndani ya nchi yetu. Usiwe mshabiki wa kitoto.....
View attachment 139694 View attachment 139695
Lets be reasonable, wanaotakiwa kushughulikia na kuzuia hayo ni wanaCCM?Dr.Slaa yaani nyie mnawapiga mapanga raia na kuwamwagia tindikali muachwe tu.
View attachment 139697
View attachment 139699
Hawa ndio wanaweza kukaa na kumwelewa Dr Slaa anazungumza nini sio wewe ambaye hata kuandika hiyo mistari yako kadhaa huelewi umekusudia nini. Sio kila hoja humu uijibu, waweza kuzisoma tuu kwa ajili ya kujielimisha kisha baada ya miaka kama mitano hivi ukafikia kiwango cha Division 5 ukaanza kuchangia.
udhaifu wa kikwete ndio umebariki mauaji asijisahau madikteta kama yeye waliishia pabaya pamoja na vizazi vyao yeye kikwete anaona sifa kuacha legacy ya nauaji ya kimbali nchini hawezi kubagua wananchi yeye ni kiongozi wa wote kila baya lazima akemee lakini sio kujivika uccm akiwa kiongozi wa nchiNdiyo ujiulize kwa nini wanaachwa MAHAKAMANI wakati POLISI ndiyo wanaofanya upelelezi. MAHAKAMA nazo zimegundulika zimejaa mahakmu wachagga. Haiwezekani LEMA anafanya uhaini tena wenye ushahidi wa maandishi , mahakama zinamuachia.
View attachment 139697
View attachment 139699
Hawa ndio wanaweza kukaa na kumwelewa Dr Slaa anazungumza nini sio wewe ambaye hata kuandika hiyo mistari yako kadhaa huelewi umekusudia nini. Sio kila hoja humu uijibu, waweza kuzisoma tuu kwa ajili ya kujielimisha kisha baada ya miaka kama mitano hivi ukafikia kiwango cha Division 5 ukaanza kuchangia.
1. itaichukua Tanzania siku 100 kupata katiba mpya
2. Tanzania itageuka kuwa nchi ya viwanda ndani ya mwaka mmoja
3. CHADEMA ikiingia ikulu mfuko wa saruji th. 5000
4. mabomba ya gezi yanajengwa kutoka mtwara kwenda Ulaya
5. nchi haitatawalika
Unaweza kuongezea upu.pu wa huyu Askofu.
View attachment 139689
Hapa rais kapotoka...hiyo kauli ilikuwa itolewe na akina Nape na aina zao siyo rais
Genious. Hebu mpe Babu Slaa haya maneno yako yenye Busara.Siungi mkono alichosema
Kikwete,ninalaani!ila nawaomba vyama upinzani waache vurugu tuone hao
CCM,watamchokonoa nani
umechanganyikuwa green guard kwa ufadhili wa wachina wanaendesha mauaji nhhini nzima na mwenyekiyi anawapa vyeo mwigulu kamuhanda ahmad nsangi gai ni baadhi ya waliopandishwa vyeo baada ya kuhusishwa ba utekaji utesaji na mauajiHawa ndiyo wanaoigharimu Damu ya Watanzania kwa kuufadhili uhaini unaoongozwa na LEMA akiongoza REDBRIGADE. ni hatari sana.