Kumekuwa na mjadala mpana kuhusu Dk. Wilbrod Slaa, Mbunge wa Karatu na Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kugombea Urais mwaka huu ili apambane na Kikwete wa CCM.
Kwa maoni yangu, Slaa akigombea Urais inaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa sana nguvu ya upinzani hapa Tanzania. Hii ni kwa sababu kuwa akigombea Urais ni dhahiri kuwa atashindwa na JK kwa sababu kadhaa, ikiwemo fitna za siasa, nguvu kubwa za kifedha ilicho nacho chama tawala, na ukweli kuwa bado Watanzania wengi wako kwenye giza nene na wanaendelea kukipigia kura CCM licha ya kushindwa kuleta maendeleo hapa nchini kwa miaka 40 sasa. It is a foregone conclusion that JK atakuwa re-elected kuwa Rais hivyo ni bora tujiandae kisaikolojia kuendelea na huu mzigo wetu for the next 5 years.
Slaa akigombea Urais ina maana kuwa he will relinquish (ataliachia) jimbo lake la Ubunge la Karatu na hivyo kutoswa nje ya mainstream politics unless Chadema impe Ubunge wa kiti maalumu au asubiri pengine kama by-election itatokea mahali. Siasa za Tanzania zipo ndani ya Bunge kwani macho ya wananchi wote yapo huko. Tukimtoa Slaa Bungeni kwenda kupambana in a losing battle maana yake kuwa tuna uwa nguvu ya upinzani Tanzania. Slaa ndiye mhimili mkuu wa upinzani hapa Tanzania na bado taifa linamhitaji awashe moto Bungeni dhidi ya ufisadi.
Bado tunamhitaji Slaa aikabe koo serikali kuhusu rushwa ya rada, Richmond, EPA, Tangold, Meremeta, DeepGreen, Mwananchi Gold, Kiwira, TICTS, TRL na ufisadi mwingine lukuki. Kwa maoni yangu, Slaa abaki bungeni ili kujiimarisha kugombea Urais 2015 ambapo ndiyo kuna nafasi realistic ya upinzani kushinda.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amegundua kuwa alifanya kosa kutoka Bungeni kwani umaarufu wake umeshuka kutokana na kuwa nje ya uwanja wa mapambano. Pengine hii ndiyo maana hana mzuka wa kugombea Urais mwaka huu na anaelekea kutaka kugombea Ubunge.
It's time to face the hard truth, Slaa akigombea Urais atapunguza tu margin of victory ya JK. Mbaya zaidi atakuwa amepoteza kiti chake cha Ubunge na kuenguliwa kwenye national politics wakati nchi inaelekea kwenye uchaguzi mama wa 2015 (the mother of all general elections). Think about it...
OMBI KWA WANA JF: Wilbrod Slaa abaki Bungeni. The nation desperately needs him. Imagine Bunge la Tanzania bila Slaa. It will be a political nightmare!
Kwa maoni yangu, Slaa akigombea Urais inaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa sana nguvu ya upinzani hapa Tanzania. Hii ni kwa sababu kuwa akigombea Urais ni dhahiri kuwa atashindwa na JK kwa sababu kadhaa, ikiwemo fitna za siasa, nguvu kubwa za kifedha ilicho nacho chama tawala, na ukweli kuwa bado Watanzania wengi wako kwenye giza nene na wanaendelea kukipigia kura CCM licha ya kushindwa kuleta maendeleo hapa nchini kwa miaka 40 sasa. It is a foregone conclusion that JK atakuwa re-elected kuwa Rais hivyo ni bora tujiandae kisaikolojia kuendelea na huu mzigo wetu for the next 5 years.
Slaa akigombea Urais ina maana kuwa he will relinquish (ataliachia) jimbo lake la Ubunge la Karatu na hivyo kutoswa nje ya mainstream politics unless Chadema impe Ubunge wa kiti maalumu au asubiri pengine kama by-election itatokea mahali. Siasa za Tanzania zipo ndani ya Bunge kwani macho ya wananchi wote yapo huko. Tukimtoa Slaa Bungeni kwenda kupambana in a losing battle maana yake kuwa tuna uwa nguvu ya upinzani Tanzania. Slaa ndiye mhimili mkuu wa upinzani hapa Tanzania na bado taifa linamhitaji awashe moto Bungeni dhidi ya ufisadi.
Bado tunamhitaji Slaa aikabe koo serikali kuhusu rushwa ya rada, Richmond, EPA, Tangold, Meremeta, DeepGreen, Mwananchi Gold, Kiwira, TICTS, TRL na ufisadi mwingine lukuki. Kwa maoni yangu, Slaa abaki bungeni ili kujiimarisha kugombea Urais 2015 ambapo ndiyo kuna nafasi realistic ya upinzani kushinda.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, amegundua kuwa alifanya kosa kutoka Bungeni kwani umaarufu wake umeshuka kutokana na kuwa nje ya uwanja wa mapambano. Pengine hii ndiyo maana hana mzuka wa kugombea Urais mwaka huu na anaelekea kutaka kugombea Ubunge.
It's time to face the hard truth, Slaa akigombea Urais atapunguza tu margin of victory ya JK. Mbaya zaidi atakuwa amepoteza kiti chake cha Ubunge na kuenguliwa kwenye national politics wakati nchi inaelekea kwenye uchaguzi mama wa 2015 (the mother of all general elections). Think about it...
OMBI KWA WANA JF: Wilbrod Slaa abaki Bungeni. The nation desperately needs him. Imagine Bunge la Tanzania bila Slaa. It will be a political nightmare!