Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Mufti anajua zaidi kuchunguza, kwa msaada wa majini na nyota
duh!! Kwel we unajua kuchunguza zaid hata ya huyo muft.. Imekaa poa sana hyo
Mufti anajua zaidi kuchunguza, kwa msaada wa majini na nyota
Hivi karibuni mufti wa Waislamu wa Tanzania aliwatuhumu chadema kuwa maandamano wanayofanya yanatishia amani ya nchi. Kesho akaibuka katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo Dr.Slaa na kumwambia mufti afanye uchunguzi kwanza kabla hajasema lolote. Hili lilipokelewa kwa shangwe na wafuasi wa cdm humu jf huku wakirusha makombora ya hapa na pale kwamba mufti hawezi wala hana hiyo elimu ya kufanya uchunguzi hivyo kibarua anachopewa na Dr. Ni kikubwa kuliko uwezo wake. Naomba kuuliza kati ya dr na mufti anayeweza kufanya uchunguzi vizuri ni nani? Kwa sababu hata Dr. Angekuwa ana uwezo wa kufanya uchunguzi asingeweza kuchukua mke wa mtu bila ya yeye kujua kuwa mchumba aliyenaye na anaemtangaza kuwa mchumba wake ni mke wa mtu. Naomba kuwasilisha.
Hivi karibuni mufti wa Waislamu wa Tanzania aliwatuhumu chadema kuwa maandamano wanayofanya yanatishia amani ya nchi. Kesho akaibuka katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo Dr.Slaa na kumwambia mufti afanye uchunguzi kwanza kabla hajasema lolote. Hili lilipokelewa kwa shangwe na wafuasi wa cdm humu jf huku wakirusha makombora ya hapa na pale kwamba mufti hawezi wala hana hiyo elimu ya kufanya uchunguzi hivyo kibarua anachopewa na Dr. Ni kikubwa kuliko uwezo wake. Naomba kuuliza kati ya dr na mufti anayeweza kufanya uchunguzi vizuri ni nani? Kwa sababu hata Dr. Angekuwa ana uwezo wa kufanya uchunguzi asingeweza kuchukua mke wa mtu bila ya yeye kujua kuwa mchumba aliyenaye na anaemtangaza kuwa mchumba wake ni mke wa mtu. Naomba kuwasilisha.
wataanzishaje shule , hospitali vyuo wakati serikali inao watu maalum inaowapa ruzuku mpaka bilioni mia sita wakati wenzao wakiambulia sifuri, yaani hakuna wa kuwawezesha hata kwa kidogo wanachoanzisha wenyewe au hulijui hilo baba? kisha nao wakitaka kujiunga na jumuiya zitakazowapa campani kama vile vatcan wenzao wanawambia watasilimisha nchi na nchi haina dini ila ya kwao na ndo serikali yao. fanya utafiti utajua kwa nini hawana shughuli za kufanya, ok bymimi ningeshauri taasisi zote za kidini ziendelee kujikita zaidi kuanzisha shule, vyuo, vituo vya afya, zahanati na mahospitali ..... ! hii itawafanya wawe busy zaidi kuliko kukosa shughuli za kufanya
huyu atafanya utafiti saa ngapi? Anazo hizo akili?
WanaCamaraderie na wana Jamvi,
Hizi ndizo Issues.
i) Udini umetoka wapi katika hoja za Dr Slaa?
2) Yaani Chama kituhumiwe kuvunja Amani, mtu yeyote mwenye akili timamu ategemee Katibu Mkuu wa Chama hicho akae kimya tu. Cammon, wana jamvi let us be serious. Ni upuuzi wa aina hii kufumbia mambo ndio kulikotufikisha hapa tulipo kama Taifa.
3) Nimesema mara kadhaa, na ninmeirudia juzi Kigoma, palipo na ukweli na haki au misingi ya ukweli inapofumbiwa macho tutapiga kelele. Hakuna aliye juu ya sheria, haki, ukweli. Hata "Mungu angelikuwa anafanya makosa kama hayo tungelimkemea", kwa bahati nzuri hafanyi makosa. Hiyo ni kuonyesha kuwa hakuna chini ya mbingu ambaye hatakemewa au kusahihishwa kama kwa misingi ya kisheria, ukweli tunaamini amekosea. Ikumbukwe hakuna mwenye "monopoly ya ukweli". Truth is but and is indivisible, hivyo iwe kiongozi wa dini (yeyote), iwe kiongozi wa Serikali wa ngazi yeyote atakemewa au kukosolewa kwa kadiri ya uzito wa kosa au upotoshaji. Wana JF hao wanaojadili personalities badala ya issues mimi hawanisumbui kwa vile tunajua "simple minds discuss people and great minds discuss issues". Tatizo hapa ni issues zilizokuwa raised na kiongozi wa dini je zina ukweli au la, kama sivyo hatuwezi kukaa kimya wakati Taifa linapotoshwa,inaweza kuwa kwa kutokujua kiongozi huyo au kwa malengo yeryote aliyonayo.