Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Mangi nadhani ni ajali ya kawaida tu. Ingekuwa ni makombora basi madhara yangekuwa makubwa zaidi maana alipotoka hospitali alitangaza kuendelea na ratiba yake ya kuhutubia wananchi hapo mwanza...ingawa ni vizuri pia kuwa na tahadhari zaidi katika kipindi huki.Haya ndomakombora yameanza nini? Haya tutasikia na kuona mengi. Pole Dr Slaa, Upone haraka uendeleze mapambano