Dk. Slaa apata ajali avunjika mkono mwanza

Dk. Slaa apata ajali avunjika mkono mwanza

Status
Not open for further replies.
Nilisema tangu mwanzo vita ya ukombozi inataka na maombi kwa mola...kupambana na nguvu za giza za msoga .....MUNGU IBARIKI TANZANIA

Ndugu uwe na ufahamu basi, nguvu za giza za Msoga zinaingia vipi hapa, kwani kuanguka ni jambo geni? Halafu hizo nguvu za giza unazosema za Msoga zinaingia vipi hapa wakati huyo wa Msoga anamaliza muda wake .
 
Ndugu uwe na ufahamu basi, nguvu za giza za Msoga zinaingia vipi hapa, kwani kuanguka ni jambo geni? Halafu hizo nguvu za giza unazosema za Msoga zinaingia vipi hapa wakati huyo wa Msoga anamaliza muda wake .

Umeangalia tarehe aliyo post mwenzio!? au unatiririka tu..!?
 
Hili jamaa bora lingevunjika shingo, kwani ni Lucifa au Shetani wa Tanzania. Mungu tuepusha na huyu Ibilisi hatari wa Tanzania. Hatukuwahi kushuhudia mabomu yakitupwa makanisani au hata mkutanoni, Eeee Mumba kamtie upofu mtu Ibilisi huyu.
 
Hili jamaa bora lingevunjika shingo, kwani ni Lucifa au Shetani wa Tanzania. Mungu tuepusha na huyu Ibilisi hatari wa Tanzania. Hatukuwahi kushuhudia mabomu yakitupwa makanisani au hata mkutanoni, Eeee Mumba kamtie upofu mtu Ibilisi huyu.

sikuiona Like hapo chini kwenye Post yako basi pokea hivihivi kavukavu

likex.png
 
aiseeee babayangu natanguliza salamu zangu za pole kwa baba wa taifa wa pili akitoka mwalimu kambalage
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom