tutamuombea atapona tu.Star tv wanaripoti kuwa dk slaa kavunjika mkono
baada ya kuteleza bafuni.......
Haya ,
Acha kushtua watu
amedondoka bafuni na hali yake nzuri,anaendelea na kampeni..
Mkono umevunjika kidogo.
Acha kushtua watu
amedondoka bafuni na hali yake nzuri,anaendelea na kampeni..
Mkono umevunjika kidogo.
Aendelee kumlinda? Ina maana amelindwa na akavunjika vile vile. Ulinzi wa Mungu unaelemewa.Pole Dr. Slaa. Mungu aendelee kukulinda vema rais wetu mtarajiwa.
Chadema nao wawe makini na hizo hoteli