Kanyafu Nkanwa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2010
- 849
- 103
Makamuzi ya alone... ndio mambo gani tena?
puli
Makamuzi ya alone... ndio mambo gani tena?
pole sana dk slaa
Makamuzi ya alone... ndio mambo gani tena?
Acha kushtua watu
amedondoka bafuni na hali yake nzuri,anaendelea na kampeni..
Mkono umevunjika kidogo.
Kuna watu wajinga tanzania, mpaka kero. Hivi ni lini majitu ya nchi hii yataamka toka ktk usingizi wa ujinga?*
Hawaoni hata tarehe?
Kweli watakuwa na macho lakini hawataona...masikio...hawatasikia.