Hiyo Press Conference ni Ya Idara ya Usalama wa Taifa; ambayo iliona UMUHIMU KUJIBU TUHUMA NZITO DHIDI YAKE.
Wengine pia wamejibu
1. Rostam
2. Lowasa
3. Ridhwani
4. Kinana
5. NEC
Serikali hii inahuruma Sana; kwa kuwa wanailea Democracy; hawataki kuonekana wanamuonea Slaa kwa kumshtaki. Ila wakiamua, wanamshtaki. SEMA ATAANZA KUTAKA UJIKO, ETI ANAONEWA; wakati ameshiriki kuchakachua barua kwa lengo zima la kuitukanisha serikali wa Wananchi na kutafuta CHEAP POPULARITY