Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Lamgambo limelia sasa ni kuchanja mbuga tu hadi wapinzani wetu wakae.
Tutaendelea kuwapatia oil chafu kadri tunavyofanya service!
Tutaendelea kuwapatia oil chafu kadri tunavyofanya service!
Kijijini kwetu kuna watu 876 na wote ni wa ukoo mmoja. Mkijaribu kusogelea yatakayowapata msilalamike.
Nani ana haki ya kuchinja nguruwe kwenu?
Kijijini kwetu kuna watu 876 na wote ni wa ukoo mmoja. Mkijaribu kusogelea yatakayowapata msilalamike.
Inaelekea kwenu ni Somalia maana huko ndiyo wanaishi design hiyo. Siyo Bongo yetu!!!!!!
Mbio za sakafuni...
kuendesha bunge kwa kifichoSijasikia strategy ya CCM
Kijijini kwetu kuna watu 876 na wote ni wa ukoo mmoja. Mkijaribu kusogelea yatakayowapata msilalamike.