mitorowindo
Senior Member
- Apr 5, 2017
- 163
- 88
Dola kumi kwa saa moja
namuona kwa mbaliiMuonekano wa ndani......Supermarket anayofanya kazi Dk. Slaa...



akipanga box@dr slaa mara zote sio mnafiki.
Atakuja kwenye hii thread na kujibu maswali yenu ama kuweka sana kila kitu.
Ngojeni shift yake iishe.
Hahahah, tena kaajiriwaAliyewai kuwa mgombea urais wa jamuhuri anauza duka Canada?
namuona kwa mbaliiakipanga box
Mpaka leo kwa undani sijajua kilichomsibu Dr. Slaa, lakini nafikiri amekuwa muungwana sana hata kama ali ikandia CDM baada ya kutoka, lakini kwa ujumla ameiacha CDM ifuate njia yake iliyotaka sio kama Prof. Lipumba anavyo iyumbisha CUF. Tumuache aendelee na maisha yake na Mola ampe rehema.Arudi nchini km lipumba
HahahahahahHakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
Na pia hajasema kama hyo kazi yake ni full time or part time so ondoa hyo 8 hours...Kwa hiyo anafanya kazi 24 hours? Yaani halali,hapumziki!!!!
Average Working hours ni 8 ingawa inaweza kuzidi kidogo.
Na pia kazi sio 30 days,kuna weekend,kuna jumapili n.k
Acha utani na lugumi ....sio vizuriIla maisha hayakofair kabisa unatumia mda mwingi kusoma then unakuta umfikii aliemaliza darasa La saba ambae alianza ujasiliamali baada ya kufeli shule ana experience ya kutosha kuhusu utafutaji.