Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Haswvu kitu. Yote inaishia kwenye tax na rent.Mil 5 unajua ana save ngapi kwa mwezi?
Haswvu kitu. Yote inaishia kwenye tax na rent.Mil 5 unajua ana save ngapi kwa mwezi?
Mganga wa Kanumba alikuwa mke wa Lissu au Slaa?Mkuu yule demu alie nae sio mchezo anakamua balaa kumbuka ndo alikua mganga wa marehemu kanumba enzi hizo
Mkuu kazi nne kwa siku wanalipa bukubuku kila kazi?Ili uishi Canada unahitaji kufanya kazi nne kwa siku, tehe tehe tehe.
sasa kama unajua wewe siyo Josephine mushumbusi mbona unasema analipwa zaidi ya Tsh.mil.5 kwa mwezi? usiingilie majukumu ya mke wa Dr.mihogoSwali kama hilo muulize Josephine mushumbusi
Mkumbuke kazi hizi unaweza kufanya ukiwa umeketi nyumbani kwako(Online) hivyo kupiga kote kwa muda huo huo. Huenda ikawa Ndio sababu ya yy kusema wanamiliki hizo Gari na kumudu maisha mengine bila Tatizo. Kwa ujumla Canada ni moja ya nchi Duniani ambayo living standard iko vizuri sana kwa watu wake.Kwa kila SAA 20000
Kwa siku 20000×24=480,000
Kwa mwezi 480,000×30=14,400,000
Sijajua tax and rant kwa huko Canada ikoje
Hivi mnadhani supermarket Za Canada ni sawa na za Hapa bongo?
Huo mshahara wake wenyewe hata hakuna mfanyakazi wa bongo anaweza ufikia.....
Umejuaje??.YOTE HII INATOKANA NA USHAURI WA MKEWE