Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

12a5c611b461064110e1da2b5d89ea55.jpg


Limeandika gazeti la mtanzania leo tarehe 10/11/2017
 
Kwa nafasi ya yule Baba hakutakiwa kufanya Mambo za ivo maana angekaa hata kule home wap kule sijui angepata hata cha kuwekeza tofauti na kuajiriwa kwa watu huko.
Unajua wanalipwa bei gani kwa mwezi?
Zaidi y milioni tano.
Wewe unalipwa ngapi hapa tz?
 
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
Mbona huruma kwahiyo walimuungiza mjini mchana kweupe
 
Tz alikuwa anakula mihogo nadhani kwa jinsi vyuma vilivyokaza kwa wadhamani wake wa hapa nchini, basi huko alikuwa anakula makombo.
Lakini hongera yake, walau mkono uende kinywani. Kazi kazi.
naona dr slaa angerudi nyumbani awe japo mwalimu chuo kikuu kimojawapo. angetoa mchango wa maendeleo nchini kuliko kuganga njaa ughaibuni. usaliti aliofanyiwa na wajasiriasiasa nchini bila shaka amepata funzo kwa njia ya uchungu mkubwa. kama anaipenda nchi bila shaka alipata faraja baada ya wajasiriasiasa kupigwa chini na jpm.
 
Hawa Wabongo wanaomponda Dr kufanya kazi supermarket utafikiri kila mtu ana mshahara au kazi ya maana! Wengi mshahara hata 1m haufiki!
Dr.Slaa kwa wadhifa aliowahi kuwa nao si wa kufanya kazi ya kuuza supermarket
 
Hivi kweli Chadema ndo shukrani mnayompa mpambanaji wenu. Kuja kumkashfu kwa msimamo wake. Hivi mnajua hata kabila lake. Mnajua historia ya maisha yake na misimamo yake. Mkoje nyinyi lakini Mbona hamna Jema. So sasa Slaa mbaya ila CCM na Lowassa ndo Wema wenu. When will you people grow when will we see maturity in You. When will your arguments and discussions be grounded on reasonable and profitable vision and mission. Are you so desperate to attack and smear CCM that you use even your great and focused Commander as means to an end. Why .so sad

And secondly .in this country and most of the Countries in Europe ,to work is what makes one to be human .here ukiona tajiri ana Hotel wengi wao ndo walikuwa wapishi wazuri. Hakuna Kazi Halali yenye heshima au Sio heshima. Kazi ni Kipimo cha utu. Ndo mana sishangai sasa why mmekazana kumtukana hata mkuu ni kwa kuwa nyie ni mission town Watu wa maboom. Its so sad and the saddest thing ,is that you do not even know it that you are stupid and are being used. Cause when you loose that capacity ya kutumia akili yako ,you are just a dead person or animal for that matter. Grow and remember Change is what you make of your life.
tulia dogo. hii haijakaa sawa, toka kuwa katibu mkuu was chama kikubwa kwenda kuwa shopkeeper. haina utetezi
 
Nahisi hii ni wiki ya madokta bongo...Dr. Louis hajatuacha na Dr. wa supermarket kaibuka tena toka Nakumatt ya Canada
 
Back
Top Bottom