Dk. Possi: Nimejiuzulu


Hayo ni maneno tu, wewe unafikiri ingekuwa hivyo kule Marekani wangeandamana? Fungua macho uone reality na uache kukremishwa. Kuna ideal world na real orld, wewe baki sasa na hivyo vikatiba vyako uone watu wanavyopiga kanyaga twende. Ni utashi tu baba, dunia ndivyo ulivyo, kama hukujuaga ipate leo
 
Mkuu katiba aliyo apa kuilinda sio ya nchi ni katiba ya kikundi cha Saccos kuweka na kukopa
 
Endelea na imani yako. Nami nasimamia hoja zangu.
 
Endelea na imani yako. Nami nasimamia hoja zangu.

Kusimamia hoja hakumaanishi hiyo hoja ni ya ukweli au ina nguvu. Kama ungekuwa unajiweza usingesimamia hoja badala yake ungeitetea hoja yako. Unasimamia hoja ambayo imekufa? Ukweli si unaonekana kwa macho au wewe dunia huioni inavyokwenda unasubiri kuambiwa tu. Eti katibaaaaaaa!
 

Tatizo siyo kuwa na raisi asiyefuata katiba, tatizo ni kuwa na katiba isiyomdhibiti raisi. Bila kupata katiba mpya, Tanzania haitabadilika kwa sababu kila raisi ni binadamu na atakuw akiongoza nchi kwa utashi wake akijua katiba haina makali kwake.

Itakuwa ni mvurundo na makitaimu siku zote. Nimewaambia.
 
Sasa mmeona ilivyo ngumu kwenu ukawa kumpiku Magufuli kwenye siasa? Jembe linaendelea kuchapa kazi.
 
wameziba mashimo
 
uteuzi ulikuwa batili kwa vile possi kajiuzulu baada siyo kabla ya uteuzi hivyo sanasana ni kuziba mahandaki wapaswa kuomba msamaha tu hakuna ubabaishaji hapo
 
Hivyo vyeo kwani kagombea? Sasa swala la uroho hapo linatoka wapi? Rais ndo anampa hivyo vyeo kwani anayempa hivyo vyeo haoni kwamba anamlimbikizia vyeo vingi mtu mmoja? Halafu kukataa kutii mamlaka ni kosa maana mkuu anaweza kuona kwamba unamdharau, yeye achape kazi usiku na mchana ndo maana ya HAPA KAZI TU.
 
Acha usabiki-vitumbua weee! Kuteua wanaume au wanawake ni sensitive? Inahatarisha usalama wa taifa ennhh??? Sawa
 
Domokaya. Domokaya. Hoja imekufa. Ni uwezo wako mdogo wa kuchambua issues au?
Soma hoja zangu. Rais asiyefuata katiba ni dikteta. Sijasema hawapo ambao hawafuati katiba. Hao ni madikteta. Hata hili huelewi.
 
Jinsi mlivyo kama viroboto, akijikuna huku unamwa huku,! Hakuna jema kwenu..!! Poor opposition!
 
Na ndiye Rais wa Nchi yetu kama hutaki atafuta ukimbizi Nchi yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…