nani kasema lugha kama "kupandwa"? mimi nimesema nchimbi na wenzake ni ngono ngono tu nani hajasema hili neno ngono mbona hata president anasema ngono salama? kuzaliwa ama kujiita mzee wa pwani sio kuwa na viwango vya lugha huna kipimo, kipi hakijulikani mbona baba amina alisema huko habari maelezo kuwa jina la anayesadikiwa muuaji wa mwanao anatajwa sana na magazeti? magazeti hukuona yamedisplay hata sms kwa huyo nchimbi? mangapi yamesemwa kuhusu wasiokuwa na madaraka ama waliokinyume na watawala? kilichokushtua ni nini? kuanguka kwa rais? ama kutajwa viongozi wakiwa bungeni wana nyumba ndogo? nani yuko juu kama Clinton aliyeshtakiwa na monica lewinsky?
sio lugha yenu na nani? mbona unanichanganya hukusikia katibu wa UVCCM amosi makalla alisema zito kaathirika kwa uongo? sitaki kupindisha ukweli, tusifiche ugonjwa waliohusika uchawi ndio wanaojitaja sasa kumbe tukiwajulisha washirika wao ni kosa? ama mzee umo na wewe?
sasa hivi ukimuahidi maskini nyumba na hukutimiza usiambiwe!
mtu wa pwani kama unahitaji porojo basi tudanganyane!
hivi nani hajui uhusiano wa nchimbi na wanawake na dada yake kwa naibu waziri? tunyamazie dhambi au ni haki ukiwa waziri uishi kinyume na maadili ya Tanzania?
nani hajui kuwa hata ditopile jana kasema wananchi wakalale na wake zao hii ni lugha inayoruhusiwa ama kwakuwa ni mtu wenu?
mtu yuko nje kwa mauaji bado mnampa mic ili atutishie? mkiua ni sawa tu sisi kusema mambo yenu ya ngono na uchawi tuonywe?
nina hakika we ni mzeee wa pwani wanakugawia....?