hongera kwa posti nzuri,mwakyembe ni mkweli,na wanao sema mnafiki ni wale walikula unga wa ndele kwa bahasha za fisadi,ametimiza ahadi zake
wanamagamba ni vigeugeu sana!!!!!!!!.hamfai na kwa taarifa yenu wananchi hawana imani na nyie hivi jiulize wmenywe tutawaamini kwa lipi sasa,ccm mnaigizahamfai hata kidogo matapeli wakubwa nyie.mwakyembe ni kigeugeu haeleweki hata kidogo ....................ccm 2015 itakuwa ni historia kwa uso wa dunia hii.hapa hajaongelea sumu, anaongelea uhai wa chama katika mazingira ya makundi ndani ya mfumo wa vyama vingi. Na katika kuthibitisha kuwa anasema kweli tazama matokeo ya chaguzi ndogo zilizofanyika hivi karibuni!
Mkweli kwa kudai kuna baadhi ya mambo kwenye ripoti ya richmond aliyaficha?
Mkweli kwa kupingana na kauli zake mara anaongea jambo kuashiria kuna mikono ya watu flani juu ya tatizo la afya yake halafu hataki weka ukweli hadharani?
Huyu mnafiki tu kama magamba wengine yani gamba ni gamba tu kumbe.
Kama wewe waona mwakyembe ni mkweli labda mimi neno ukweli nalielewa vibaya litakuwa na maana tofauti nijuayo mimi
Dk. Mwakyembe aliweka msimamo kuwa atakapoamua kupumzika ubunge atakayembadili atakuwa mtu mwenye viwango na kasi ile ile, mwenye sifa ya ubunge kwa kutokuwa muoga ambaye akifika bungeni atakuwa hajikombi kwa kubeba mabegi ya mawaziri kwani huo ndio mwanzo wa kudharauliwa.
Ndugu zangu usipokuwa na msimamo kwenye siasa za kitaifa, watakudharau, mara unasema unajua wazee eeeeh twendeni tukapate supu watakuambia sawa, alisema na kuongeza:
Hapana tunataka mbunge makini anayemwambia waziri chukua begi lako tukutane jioni tuongelee masuala ya maendeleo ya Kyela, nao watakuheshimu kuwa huyu jamaa ana kamsimamo.
Dk. Mwakyembe alisema miradi yote aliyoiahidi wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2010 atahakikisha inatekelezwa ikiwemo ujenzi wa barabara ya lami kutoka Kyela kwenda Matema.
CHANZO: NIPASHE
anyamaze...........ukurutu umeisha?
Mwakyembe na Kiwira wapi na wapi, inaonyesha ni jinsi gani mamluki mlivyojazana humu kuchafua watu, subirini kushikishwa kuta na hao wafadhili wenu.
anyamaze...........ukurutu umeisha?
Mbunge wa Kyela (CCM), Dk.Harrison Mwakyembe, amekirushia kombora Chama cha Mapinduzi kwamba kama kitaendelea na mivutano ya ndani, kuna uwezekano mkubwa wa kubwagwaa katika chaguzi zijazo na vyama vya upinzani.
Alisema hayo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara na mamia ya wananchi wa mji wa Kyela uliofanyika katika viwanja vya John Mwakangale wakati wa ziara yake ya siku tatu baada ya kutokuwepo jimboni mwake kwa zaidi ya miezi saba kutokana na kuugua na kulazwa nchini India.Chochoko ndani ya CCM haziishi, kuna watu utafikili wamechanjiwa kwa ajili ya chokochoko, Katibu sitanii tupo kwenye ushindani mkubwa wa kisiasa, vyama vya upinzani siyo vya kuchezewa tena vina nguvu kubwa, na CCM tukiendelea na hizi ngumi za ndani tutabwagwa, alisema Dk. Mwakyembe huku akishangiliwa na wananchi.
Dk.Mwakyembe ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ujenzi, alisema baada ya kuchaguliwa kuwa mbunge aliingia na hamasa kubwa na kuwa mtu wa pili kitaifa kuanzisha vikundi vya ushirika Vicoba ambavyo viliibuka kwa kasi na kuwa na mtaji Sh. bilioni tatu benki.
Alisema baada ya mafanikio hao kupatikana siasa ikaingia na kuanza kupiga fitina hali iliyopelekea mfadhili aliyekuwa ameahidi kutoa Sh. milioni 100 kusitisha mpango huo baada ya kuandikiwa barua na baadhi ya viongozi ndani ya chama kwamba yeye (mfadhili) anaendesha upinzani ndani ya CCM.
Aliongeza kuwa baadaye ilibainika kuwa waliokuwa wakipiga vita Vicoba walikuwa ni mafisadi ambao wameiba fedha za chama na serikali hivyo wanataka wao ndio watawale kwa jeuri ya pesa zao na kutotaka wananchi wapate msaada kutoka kwa watu wengine.
Dk. Mwakyembe aliweka msimamo kuwa atakapoamua kupumzika ubunge atakayembadili atakuwa mtu mwenye viwango na kasi ile ile, mwenye sifa ya ubunge kwa kutokuwa muoga ambaye akifika bungeni atakuwa hajikombi kwa kubeba mabegi ya mawaziri kwani huo ndio mwanzo wa kudharauliwa.
Ndugu zangu usipokuwa na msimamo kwenye siasa za kitaifa, watakudharau, mara unasema unajua wazee eeeeh twendeni tukapate supu watakuambia sawa, alisema na kuongeza:
Hapana tunataka mbunge makini anayemwambia waziri chukua begi lako tukutane jioni tuongelee masuala ya maendeleo ya Kyela, nao watakuheshimu kuwa huyu jamaa ana kamsimamo.
Dk. Mwakyembe alisema miradi yote aliyoiahidi wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2010 atahakikisha inatekelezwa ikiwemo ujenzi wa barabara ya lami kutoka Kyela kwenda Matema.
CHANZO: NIPASHE
Huyu naye mnafiki mwingine mtu wa kutafta umaarufu na public sympath, yeye na mwenzake Sitta hawana jipya kazi kuropoka.
Hebu fikiria Mwakyembe na kauli zake tata; Mara kuna mambo hakuyasema kwenye report ya richmond. Kwanini mpaka leo hajayasema? Kama si unafiki ni nini? Mara kalishwa sumu lakini hataki weka mambo wazi mwisho wa siku kaibuka tuaachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake tusijadili afya yake wakati mwanzo alisema hana imani na polisi.
Huyu mropokaji tu anatafta umashuhuri mimi alishanichosha japo mwanzo nilikuwa namkubali.
Magamba wanavutana acha wazikane
huyu mwakyembe ni kama choo cha kuku,ambacho kinakuwa na rangi mbili au tatu na zaidi.
yeye ni waziri wa serikali ya ccm,anaporopoka hayo maneno anamwambia nani wakati yeye yumo humo ndani,asituzingue aendelee na matibabu kwanza