Dk. Malasusa, hali bado tete

Dk. Malasusa, hali bado tete

Ukiangalia negative comments zote na ukafuatilia post zao ni watu wanaopenda na kufanya uchawi na ushirikina mwingine woote. Ni dhahiri ni watu wa kambi ya adui wa Ukristo. Unategemea wampende kuhani wa Mungu?
Poleni maana mtapata hasara duniani na huko muendako. Imekula kwenu !!!
Badilikeni kabla hamjachelewa.
 
Ukiangalia negative comments zote na ukafuatilia post zao ni watu wanaopenda na kufanya uchawi na ushirikina mwingine woote. Ni dhahiri ni watu wa kambi ya adui wa Ukristo. Unategemea wampende kuhani wa Mungu?
Poleni maana mtapata hasara duniani na huko muendako. Imekula kwenu !!!
Badilikeni kabla hamjachelewa.
Kasoro mimi tuu
 
huyu askofu malasuxa ameanza kuandamwa na mwanaHALISI mbona ataipatapata nakwambia, akamwulize muumini wake lowaxa. kubenea akikuandama na gazeti lake huchomoki asee!!, yote haya yanatokana na huyu askofu kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais JPM wakati msimamo wa kanisa lake ilikuwa ni kususia tukio lile. pole sana askofu.

Tanzanian way of thinking. Kwa hiyo hakufanya anayotuhumiwa kwayo, ni sherehe tu? Ni Kubenea tu?

Ni kweli peke yake ndio imwekayo mja huru
 
Ukiangalia negative comments zote na ukafuatilia post zao ni watu wanaopenda na kufanya uchawi na ushirikina mwingine woote. Ni dhahiri ni watu wa kambi ya adui wa Ukristo. Unategemea wampende kuhani wa Mungu?
Poleni maana mtapata hasara duniani na huko muendako. Imekula kwenu !!!
Badilikeni kabla hamjachelewa.

What seems negative on your side might be positive when seeking truth. Adui wa Ukristo ni yule akumbatiaye maovu. Usitaraji kufichwa kwa jambo ndio kulimaliza kwake. Kama unaujua ukweli na uuseme, haki itapatikana.

Uchawi na ushirikina hauna tofauti na uzinzi na uasherati. Tuhuma hizi ni nzito na hazijaanza leo. Unaweza kuniambia ni kwa nini mnajibu nyinyi tu mnaojiita 'wahifadhi wa watumishi wa mungu' lakini wao wanaotuhumiwa wako kimya?

Wewe mwenye haki tayari unawashutumu watu wengine kuwa washirikina na wasiopenda Ukristo, je ni lipi rahisi kuthbitika kati ya tuhuma zako dhidi yao na tuhuma zao dhidi ya askofu?

Don't be pathetic, kanisa halilindwi kwa upanga, kweli peke yake ndio itatuweka huru.
 
Malasusa ni Askofu wa kanisa gani kwa sasa?
Nijuavyo mimi Askofu Malasusa alishastaafu.
 
Unajua wengi wa watanzania hawana akili. Sasa Wewe unataka ushahidi unaomtetea mtuhumiwa wakati ushahidi wa anayemtuhumu mtuhumiwa huna? So ujinga huo? Huyo anayedai kaibiwa mke amekupa ushahidi gani? Hilo gazeti ni lini lilimpa haki yake Malasusa ya kuhojiwa? Kwa nini gazeti linatumia maelezo ya upande mmoja? Tunajuaje kama ushahidi(kama upo) wa uzinzi wa Malasusa sio fabricated? Kwani kuna shida gani Huyo Mwenye Mume asiende mahakamani?????
husisumbue sana kupiga porojo na kuita watu wajinga husiowajua, yawezekana wewe ni mjinga Zaidi ya unaofikiria kuwa wajinga. Time will tell. Hakuna moto unaowashiwa shimoni ukaacha kufuka moshi. Let us wait.
 
Uzinzi wa MTU hauthibitishwi kwa Porojo za Mtandaoni...

Time will tell. Hakuna mapana yasiyo na ncha. mtakimbia wote humu. Mi nimeanza kusikia habari ya huyo Askofu na tuhuma hizi tangu hajawa na hicho cheo mwaka 1995. Jua hakuna moto unaowashiwa shimoni ukaacha kufuka moshi juu. Let us wait.
 
husisumbue sana kupiga porojo na kuita watu wajinga husiowajua, yawezekana wewe ni mjinga Zaidi ya unaofikiria kuwa wajinga. Time will tell. Hakuna moto unaowashiwa shimoni ukaacha kufuka moshi. Let us wait.
Sasa hapa ndo umethibitisha mawazo yangu ya awali kuwa Wewe ni JINGA. Umejibu hoja ipi ya kwangu? Unatema povu Kwa maswali rahisi kama yale?
 
Time will tell. Hakuna mapana yasiyo na ncha. mtakimbia wote humu. Mi nimeanza kusikia habari ya huyo Askofu na tuhuma hizi tangu hajawa na hicho cheo mwaka 1995. Jua hakuna moto unaowashiwa shimoni ukaacha kufuka moshi juu. Let us wait.
Ndugu umeelewa vzr nilichoandika? Hebu soma tena kisha tuendelee na Stori...
 
viongozi wa dini wa tanzania sijui wanawaza nini kwakweli? any way mambo ya mungu kazi kuelewa maana wamepewa uelewa wao tu

hasa hawa katoriki,
Wacha bangi mkuu. Huyu ni M KKKt
 
Kama ungekuwa umefuatilia tangu likipoanza ungegundua kuwa mwenye mke ndio aliyegundua mahusiano na sio sisi.
Mkuu achana na ishu zisizokuhusu. Komaa na ishu zako kaka. Unajua mambo ya watu sio ya kuyashobokea sana hadi yakakufanya uonekane ufahamu na uwezo wako kwenye kufikiri una dosari. Yani hapo unaweza kujikuta unakomaa na Malasusa wakati Mkeo anagongwa na washkaji kama kawa. Au uko busy na hii habari ya kutungwa wakati demu wako watu wanatafuna hadi tigo.

Wakati Josephat Isango amepewa tulaki tuchache ili amkashifu Malasusa, na Malasusa huwezi kufikia hata robo ya robo ya ya kipato chake, wewe hapo uko busy kumjadili Malasusa wakati unatokwa povu jingi kulilia sukari ishushwe bei!
 
Ninauwakika Malasusa ni kidokozi Wa wake za watu sikurupuki kwanini asisingiziwe kadinali Pengo????????na hiki Kibaba kinakulia kwenye ofisi za kanisa pale Azania front.me nasali pale namuelewa sana.Mungu amemuumbua nyie mnamfichaficha achane kuzungusha maneno bora kusema Mungu ndo akawe hakimu Wa tuhuma hizi only itatosha!
 
Back
Top Bottom