Dk. Malasusa, hali bado tete

Dk. Malasusa, hali bado tete

Malasusa ni mzinzi haina haja ya kimfumbia macho walutheri wenzangu haiwezekani mtumishiwq Manisa kututia aibu kiasi hiki katika Imani nilikuwa najivua ulutheri kwa miaka mingo ila baada ya huyu jamaa nimekaa nyuma kama popo na sina Imani na hata sadaka zetu tunazotoa kanisa limejaa uzambiki,wizi,ubinafsi,pango LA walanguzi maeneo ya kanisa now days ni sehemu za biashara tena za kilanguzi wakiongozwa na wazee wakanisa n wachungaji habari za kkkt zote ninazo nalifahamu kanisa kuliko mfumo mzima Wa usimamizi na utendaji wizi utapeli mtupu.Malasusa dhambi haiendewi likizo uwezi kuikimbia sauti ya mungu itakufata popote ulipo.
Alizini na nani?hebu fanya mambo ya maana yenye tija sio kuchafua watu
 
huyu askofu malasuxa ameanza kuandamwa na mwanaHALISI mbona ataipatapata nakwambia, akamwulize muumini wake lowaxa. kubenea akikuandama na gazeti lake huchomoki asee!!, yote haya yanatokana na huyu askofu kuhudhuria sherehe za kuapishwa rais JPM wakati msimamo wa kanisa lake ilikuwa ni kususia tukio lile. pole sana askofu.

Ingawa umeandika kiboya mambo ya kueka xxxx ila kuna ukweli flani hivi kwenye bandiko lako
 
Ingawa umeandika kiboya mambo ya kueka xxxx ila kuna ukweli flani hivi kwenye bandiko lako
Malasusa ni binadamu wa kawaida kama binadamu yeyote yule duniani na ni kiongozi kama viongozi wengine wowote waliowahi kutokea duniani.Na kila kitu kina mwanzo na mwisho wake.Viongozi wote duniani wanakoma uongozi kwa njia mbali mbali tofauti.Kuna kukoma kuwa kiongozi kwa njia ya kikatiba, au kwa njia ya mapinduzi,au kwa njia ya kashifa, kwa njia ya maradhi au kwa njia ya kifo.Vivo hivyo hata Malasusa kama kiongozi sawa na viongozi wengine waliowahi kutokea ataacha kuwa kiongozi kwa moja kati ya sababu hizo.Kwa kashifa inayomkabili ina weza kuwa ni kweli alifanya au la.Vitu vyote viwili ni nguvu sawa, ukweli una nguvu na majungu pia yana nguvu.Vyote viwili hivi vinaweza kumng'oa madarakani kiurahisi kabisa.Ikumbukwe kuwa maaskofu walio chini yake wana akili kama yeye na pengine wanamzidi, hivyo wanaweza kuwa na wao wanataka kuwa kwenye nafasi hiyo.Sasa inakuwa rahisi kwao kutumia kashifa hiyo ili kujisogeza kwenye madaraka hayo makubwa.Faida kuu za madaraka yeyote kwa binadamu kwanza kabisa ni PRESTIGE and FAME ( kutukuka na umaarufu ), pili ni masilahi binafsi na tatu ya mwisho ni kazi yenyewe ya kutumikia watu.Kashifa ya uzinzi ni SENSITIVE kuliko kashifa yeyote ile.Unaweza kula mabilioni ya fedha za mtu na mwenyewe akakusamehe kwa amani lakini kamwe mtu hawezi kukusamehe ukizini na mkewe !!!.Kwa hiyo Malasusa ajiandae na lolote lile kung'oka au kubaki madarakani.
 
Credibility ya mtu kama huyo kuwa kiongozi wa ibada/kanisa imepotea.akae pembeni tu,yale yale ya gwajima na flora mbasha,uzinzi mbaya sana
 
Malasusa ni mzinzi haina haja ya kimfumbia macho walutheri wenzangu haiwezekani mtumishiwq Manisa kututia aibu kiasi hiki katika Imani nilikuwa najivua ulutheri kwa miaka mingo ila baada ya huyu jamaa nimekaa nyuma kama popo na sina Imani na hata sadaka zetu tunazotoa kanisa limejaa uzambiki,wizi,ubinafsi,pango LA walanguzi maeneo ya kanisa now days ni sehemu za biashara tena za kilanguzi wakiongozwa na wazee wakanisa n wachungaji habari za kkkt zote ninazo nalifahamu kanisa kuliko mfumo mzima Wa usimamizi na utendaji wizi utapeli mtupu.Malasusa dhambi haiendewi likizo uwezi kuikimbia sauti ya mungu itakufata popote ulipo.
Kama KKKT ni wazinzi, wazandiki nk kama ulivyowaita there is two things you can do my friend either go where u think there saints and angels or keep quite. Don't you know church politics and uchu wa madaraka even in the house of the Lord?who are u to judge the man of God and condemn the whole church?
 
Malasusa ni mzinzi haina haja ya kimfumbia macho walutheri wenzangu haiwezekani mtumishiwq Manisa kututia aibu kiasi hiki katika Imani nilikuwa najivua ulutheri kwa miaka mingo ila baada ya huyu jamaa nimekaa nyuma kama popo na sina Imani na hata sadaka zetu tunazotoa kanisa limejaa uzambiki,wizi,ubinafsi,pango LA walanguzi maeneo ya kanisa now days ni sehemu za biashara tena za kilanguzi wakiongozwa na wazee wakanisa n wachungaji habari za kkkt zote ninazo nalifahamu kanisa kuliko mfumo mzima Wa usimamizi na utendaji wizi utapeli mtupu.Malasusa dhambi haiendewi likizo uwezi kuikimbia sauti ya mungu itakufata popote ulipo.
Una ushahidi? au unataka kumpakazia huyo mtakatifu wetu mpendwa? kama wewe una beef nae kumbuka sisi waumini wa Kilutheri tunaimani thabiti na Malasusa,mamii jichunge usije pata LAANA kutoka kwa Bwana wa milele.
 
Jambo usilolijua ni usiku wa giza, nilifanikiwa kusoma tuhuma hizi kwenye moja ya gazeti na kwa bahati nzuri nimejaribu kufuatilia kidogo ili kujua nini hasa kinatokea katika Dayosisi ya mashariki ya Pwani. Kwa watu ambao hawaijui hii dayosisi ya mashariki na pwani sio rahisi kuelewa haya mambo, wengi watachukulia mambo haya kwa uzito usio stahili.

Kanisa lina maadui kadhaa ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakisakama Kanisa . Kwa KKKT Dayosisi ya mashariki na Pwani kumekuwa na maadui wengi. Adui mmoja mkubwa ambaye ameitesa Dayosii hii ni Mambo ya Uzawa, muundo wa KKKT unasababisha kila Dayosisi iamini kuwa wanaostahili kuongoza Dayosisi ni watu wazawa wa eneo hilo, Dayosisi zote zilizopo, nyingi huongozwa na wazawa wa eneo hilo, hili ni tatizo kubwa na kwa kiasi kikubwa pamoja na mambo mengine lilivuruga sana kanisa (Dayosisi ya Mashariki na pwani) wakati wa Askofu Jerry Ngwamba, askofu Jerry Ng'wamba alikuwa ni Mzaramo wa Kisarawe ambapo aliiongoza Dayosisi hii akimpokea Askofu Sendoro ambaye alikuwa mpare. Kutokana na kuamini kuwa wazawa ndiyo wenye uhalali wa kuongoza Dayosisi husika kipindi hicho kilishuhudia ubaguzi na upendeleo ulioweza kuwabagua watu walioitwa "wakuja" jambo hili liliibua harakati za hao "wakuja" ambao ni wengi sana katika Dayosisi ya mashariki na pwani na kwa kiasi kikubwa ndiyo wanaoabudu na kuchangia maendeleo. Watu waliposhindwa kuvumilia pamoja na tuhuma nyingine za wazi zilizoundiwa tume, zilisababisha kuondolewa kwenye Utumishi wa Kanisa Askofu Jerry Ngwamba.

Ninachotaka kuchangia katika huu uzi ni kuwa Dayosisi hii imekuwa na chokochoko nyingi na silaha kubwa ambayo nafikiri imekuwa ikitumika vizuri ili kulivuruga Kanisa ni uzushi kama huu unaofanywa na watu ambao hawakufurahi uwepo wa Utumishi wa Askofu Malasusa kutokana na ukweli kuwa sio mzawa wa Pwani. Kwa wana KKKT waaminifu wanaelewa jambo hili na ndiyo maana hawahangaiki nalo sana, viongozi au wachungaji wale ambao kwa nia moja au nyingine wana maslahi nalo ndiyo wanaohangaika.

Nafikiri ifike sehemu Dayosisi isikae kimya pamoja na kuomba lakini nilazima hatua zichukuliwe ili ukweli wa jambo hili ujulikane, Hatua za kimahakama lazima zichukuliwe ili wale wote wanaotumika kulichafua Kama wana ushahidi wa kweli waueleze na hatua zichukuliwe kwa yeyote atakayekuwa ana nia ovu dhidi ya Kanisa la KKKT.


Thanks kwa maelezo marefu. Ila hayatakuwa na tija iwapo hautatueleza kwa udhibitisho kuwa hili suala la Uzinzi sio kweli na mengine yanayoambatana na habari hiyo. Hii ndio hoja ya msingi na sio porojo. Kumbuka huyu ni kiongozi wa dini kutokuwa wazi kunapelekea kuvunja moyo waumini.
 
Kama ungekuwa umefuatilia tangu likipoanza ungegundua kuwa mwenye mke ndio aliyegundua mahusiano na sio sisi.
Sheria inampa Uhuru wa kwenda Mahakamani. Mbona haendi anahangaika na hiki kijarida uchwara? Haoni Mwingira hadi sasa kesi inaunguruma? Aende mahakamani aache fitna kupitia Kwa Joseph at Isango
 
Thanks kwa maelezo marefu. Ila hayatakuwa na tija iwapo hautatueleza kwa udhibitisho kuwa hili suala la Uzinzi sio kweli na mengine yanayoambatana na habari hiyo. Hii ndio hoja ya msingi na sio porojo. Kumbuka huyu ni kiongozi wa dini kutokuwa wazi kunapelekea kuvunja moyo waumini.
Unajua wengi wa watanzania hawana akili. Sasa Wewe unataka ushahidi unaomtetea mtuhumiwa wakati ushahidi wa anayemtuhumu mtuhumiwa huna? So ujinga huo? Huyo anayedai kaibiwa mke amekupa ushahidi gani? Hilo gazeti ni lini lilimpa haki yake Malasusa ya kuhojiwa? Kwa nini gazeti linatumia maelezo ya upande mmoja? Tunajuaje kama ushahidi(kama upo) wa uzinzi wa Malasusa sio fabricated? Kwani kuna shida gani Huyo Mwenye Mume asiende mahakamani?????
 
Thanks kwa maelezo marefu. Ila hayatakuwa na tija iwapo hautatueleza kwa udhibitisho kuwa hili suala la Uzinzi sio kweli na mengine yanayoambatana na habari hiyo. Hii ndio hoja ya msingi na sio porojo. Kumbuka huyu ni kiongozi wa dini kutokuwa wazi kunapelekea kuvunja moyo waumini.
Uzinzi wa MTU hauthibitishwi kwa Porojo za Mtandaoni...
 
Back
Top Bottom