habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
Ccm ni chama pendwa hapa tanzania...kitaongoza nchi hadi miaka mingi ijayo
Kitima na watembea na sumu wenzake wapanga ugaidi watakufa wao huku ccm ikiendelea kuwaletea wananchi maendeleo
Kitima ni mchumia tumbo aliyebaki kulalamika badala ya kufanya kazi. Ni moja ya loosers
Ccm ni chama cha watanzania wanyonge na maskini na lengo lake ni kuwakomboa na umaskini
Kiwiliwili kinapokosa mawasiliano na kichwa kinakuwaje!
?kuwa na akili ya kiwendawazimu si lazima kuokota makopo! Matendo
Humu kuna maamuma wengi kweili ...!!! hivi kushabikia mafisadi ndio ujanja eh! Kwa nini mzarau maneno ya KITIMA...?
eti kwa point hii, unaweza ukaka kwa wanawake wenzako ukajitapa kweli!!!!!.
eti kwa point hii, unaweza ukaka kwa wanawake wenzako ukajitapa kweli!!!!!.
Msomi anapotumia kigezo cha uwekezaji kujitafutia cheap popularity anatia aibu mbele za jamii
Wanyonge wepi hao, toa longolongo yako hapa, tutapata ban bure.Ccm ni chama cha watanzania wanyonge na maskini na lengo lake ni kuwakomboa na umaskini
Kuna kitu bado sijaelewa hapo kuhusu Tundu Lissu na Upinzani.
Huenda mleta mada katuchanganya au Dr.Kitima kapotoka!!
Kusema kuwa Dr.Kitima alimkataza Tundu Lissu asifanye Mhadhara hapo chuoni kisa hajafanya maendeleo jimboni kwake, hicho ni kichekesho kikubwa kwa sababu:
1/Anadai hiyo ilikuwa mwaka juzi(2011) na Tundu Lissu ameingia bungeni mwishoni mwa 2010, alitegemea maendeleo gani kwa muda huo kutoka kwa mbunge mpya tena kutoka upinzani?
2/Je, ni sera ya chuo chake kumwita mwanasiasa kama mbunge ili kutoa muhadhara SAUT kwa kigezo cha maendeleo aliyoleta jimboni mwake?
3/Je, hao wanasiasa wabunge wa CCM wamefanya nini kikubwa cha maendeleo majimboni mwao mpaka wapewe nafasi?
4/Paul Makonda sio mbunge wala kiongozi wa nchi bali ni kada wa CCM, naye siku chache zilizopita alikuja SAUT akiwa na Samweli Sitta nk na kupewa nafasi ya kuongea, ni maendeleo yapi amefanya katika nchi yetu mpaka apewe nafasi hiyo?