Gerad2008
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 583
- 287
Jamani, Huyu Mama atakufa kwa Pressure!!!!!!!!!
Juzi Dk. Batilda alivamia bila kualikwa katika mkutano wa Arusha Women SACCOS uliokuwa unafanyika pale Metropole na kuanza kujidai kuchangia mada. Katika hali iliyoonyesha kukerwa na hali hiyo akina mama walimpuuza na kumzodoa na kumtaka aache kuingilia mambo yasiyomhusu kwani yeye hakuwa mwanachama na hakua amealikwa katika mkutano huo.
Katika hali ya kushtusha akina mama hao walimpigia simu mgombea wa ubunge wa jimbo la Arusha Godbless Lema kufika eneo hilo. Ghafla Lema alitia timu ukumbini hapo na ukumbi ukalipuka kwa vigelegele na nderemo huku Dk. Batilda akishuhudia live kwa aibu kama mtu aliyeshikwa Uchawi night.
Habari nyingine kutoka soko kuu la Arusha zinasema Batilda anapita meza kwa meza huku akifuatana na mama yake mzazi katika kumwombea kura kwa watu ambao walishamkana na kumpiga na matango na nyanya siku za nyuma.
USHAURI: DAKTARI KUBALI TU KUWA HILI GAME NI GUMU LIMEKUSHINDA NA LIMESHA KUKATAA. CHA KUFANYA NI KUENDELEA KUHUDHURIA CLINIC ILI USIPATE HASARA MARA MBILI; HASARA YA KIUMBE ULIYE NAYE NA HASARA YA KUSHINDWA UBUNGE:israel:
Juzi Dk. Batilda alivamia bila kualikwa katika mkutano wa Arusha Women SACCOS uliokuwa unafanyika pale Metropole na kuanza kujidai kuchangia mada. Katika hali iliyoonyesha kukerwa na hali hiyo akina mama walimpuuza na kumzodoa na kumtaka aache kuingilia mambo yasiyomhusu kwani yeye hakuwa mwanachama na hakua amealikwa katika mkutano huo.
Katika hali ya kushtusha akina mama hao walimpigia simu mgombea wa ubunge wa jimbo la Arusha Godbless Lema kufika eneo hilo. Ghafla Lema alitia timu ukumbini hapo na ukumbi ukalipuka kwa vigelegele na nderemo huku Dk. Batilda akishuhudia live kwa aibu kama mtu aliyeshikwa Uchawi night.
Habari nyingine kutoka soko kuu la Arusha zinasema Batilda anapita meza kwa meza huku akifuatana na mama yake mzazi katika kumwombea kura kwa watu ambao walishamkana na kumpiga na matango na nyanya siku za nyuma.
USHAURI: DAKTARI KUBALI TU KUWA HILI GAME NI GUMU LIMEKUSHINDA NA LIMESHA KUKATAA. CHA KUFANYA NI KUENDELEA KUHUDHURIA CLINIC ILI USIPATE HASARA MARA MBILI; HASARA YA KIUMBE ULIYE NAYE NA HASARA YA KUSHINDWA UBUNGE:israel: