Dr Bana is classic example ya madhara ya ku-krame mambo bila kujua ume-krame nini. Heshma yake mbele ya wasomi imeisha kabisa sasa hivi kabisa kufanya seminar na Tambwe Hiza!
Ninaomba mwenye "Biodata" ya huyu Doc(cm) Bana aiweke Jamvini
Dr Bana is classic example ya madhara ya ku-krame mambo bila kujua ume-krame nini. Heshma yake mbele ya wasomi imeisha kabisa sasa hivi kabisa kufanya seminar na Tambwe Hiza!
Na Kilimo kwanza sio Kauai Mbiu? Mbonahusemi ifutwe .......Huyu chizi kasomeni Majibu ya tafiti za Redet kuwa Vyama vya upinzani haviendi vijijini Ndio maana viko dhaifu, Leo anakuja na hoja kua visiende vijijini. Ili viendelee kuwa dhaifu? CDM mjibuni Huyu mwehu.........