Dk. Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusu M4C & V4C

Dr Bana is classic example ya madhara ya ku-krame mambo bila kujua ume-krame nini. Heshma yake mbele ya wasomi imeisha kabisa sasa hivi kabisa kufanya seminar na Tambwe Hiza!

Ninaomba mwenye "Biodata" ya huyu Doc(cm) Bana aiweke Jamvini
 
Vipi huyu Dk. Bana amesomea nini? Nadhani huyu kama asingekwenda shule kabisa angekuwa ashusha udenda kijijini. Sijui anaishi katika nchi gani? Anajuwa kodi ya nyumba kwa mwezi ni sh ngapi? Maji na umeme analipia sh ngapi pale chuo kikuu? Bei ya vyakula inamgusa huyu kweli? Mara ya mwisho mkewe alitumia lini mafuta ya taa kupikia chakula? Kimsingi kama kasema hayo,basi ni upuuzi unazonga na pengine anafikiri kama robot. In short Dr. Bana is an academician who has sold his soul to the devil in defense of Tanzania corrupt regime
 
Na Kilimo kwanza sio Kauai Mbiu? Mbonahusemi ifutwe .......Huyu chizi kasomeni Majibu ya tafiti za Redet kuwa Vyama vya upinzani haviendi vijijini Ndio maana viko dhaifu, Leo anakuja na hoja kua visiende vijijini. Ili viendelee kuwa dhaifu? CDM mjibuni Huyu mwehu.........

Tendwa alisema atavifuta vyama vyote ambavyo vinasubili kufanya siasa wakati wa uchaguzi na CHADEMA wameanzisha M4C anageuka na kusema wameanza kampeni kabla ya uchaguzi. Jamani hawa wasomi na watendaji mbona ni vigeugeu?

Kumbe unaweza ukawa na PhD bila kuelimika!
 
Kisha stukia deal huyo, inawezekana amesoma upepo and then kaona kitumbua chake kinaweza ingia mchanga soon hizo kampeni zikiisha iva na kutoa matunda mazuri, nacho mpendeaga huyu mwalim wangu ni hiki; Akiwa ana comment kitu huwa anasahau kabisa kama naye ni msomi, yaani ubongo wake huwa likizo ndefu kweli, hivi hizi kampeni zinatofauti gani na elimu ya uraia kwa wabongo?, sio shida mwalim, siku moja nenda kawasikilize, usitegemee TBC tu kuwa inakupa update za hawa jamaa hasa M4C, nyingi zimechakachuliwa, unataka kunambia wewe unafikiria vizuri zaidi kuliko wasomi wenzio hawa;- Dr. Nkumba, Lwaitama, Prof. Safari, Dr. Slaa? sidhani, comment yako hii imekaa kinazi zaidi kuliko ki intellectual mkuu!
 
Back
Top Bottom