Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,974
Wadau MMU, Naomba kuuliza kwa wale walio deep.. Nimekuwa nikishi hotelini kwa muda mrefu sasa,katika jiji la Arusha.Nimeshuhudia watu wengi wakiingia mke na mme na kukodi chumba kwa muda mfupi sana, yamkini hazizidi hata Dk 10,huwa nawaona wanatoka.Nikawauliza wahudumu mbona hawa watu wanatoka haraka hivyo,wakanijibu sijui wenyewe ila sisi tayari tumepokea pesa yetu ya pango la chumba,kwa hiyo ni hiyari yao kukaa sana/kulala au kutoka mapema.Nikajiuliza tena au ni mke na mume wa mtu.?? Au wana haraka kuna sehemu wanakwenda.?? Au wameshindwa kuelewana..?? Au mke amelipwa malipo ya bao moja tu..?? Au mwanaume hawezi kupiga bao zaidi ya moja.?? Au Mke hana mvuto ndo maana Mme kaamua kuondoka haraka.?? Naomba mnisadie kujibu na kunielewesha hilo jambo tafadhali..!!@!