DJ Mark namba moja

DJ Mark namba moja

We ni mtoto hili chaka la wakubwa huwezi mwiko kutinga, biashara za shanga shazikufai waachie machinga.../
Kubishana na wewe siwezi,kwanza ni udwanz..eti mtu unajiita scars ,alafu unataka kubishana na djs
 
we boya usiwe na akili za kindezi, Kukaa nyuma ya kilabu hakukufanyi uwe mlevi.../
Wa uswazi mnajulikana tu,true
Kilabu ni msamiati mnaoujua nyie tu.
sema club au pub..mambo ya kilabu labda anayajua babu
 
Back
Top Bottom