Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 203
- 418
Habari za wakati huu Wana JF, ni takribani wiki tatu Toka mkuu Wa maudhui clouds media group ndugu Sebastiani alivokuja na urithi Wa marehemu captain gadner G Habash na kutangaza warithi Wa jahazi. Miongoni mwa warithi alowatangaza ni:
✓George bantu
✓Hamisi mandi
✓Adam mchomvu
✓Bigchawa
✓Dj d ommy
Toka alivotangaza urithi huo sikuwahi kumskia dj d ommy pale clouds fm, ikabidi nifatilie kwa bahati nzuri nikakuta kwenye bio yake pale Instagram kabadilisha na kwa Sasa ni head of music department Crown FM.
Anaejua chanzo cha the internation DJ D Ommy kuhama CMG atutonye.
Naishia hapa.
PIA SOMA
- DJ D Ommy ajiunga na Crown FM kutoka Clouds FM