BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,497
- 8,364
Kituo cha Redio kinachomilikiwa na Nyota wa Bongo Flava pamoja na Mtangazaji Salim Kikeke kimemchukua DJ D Ommy aka “The INTERNATIONAL DJ! JITU na sasa ni “Head of Music Department” hapa CROWN Media. @djdommy pale ni Nyumbani.
WIKI YA MATUKIO Imeanza na TUKIO la kwanza la Kimkakati Limepigwa 92.1 MIKOCHENI, Dar es Salaam 👑
Pia Soma: DJ D Ommy aondoka Clouds
WIKI YA MATUKIO Imeanza na TUKIO la kwanza la Kimkakati Limepigwa 92.1 MIKOCHENI, Dar es Salaam 👑
Pia Soma: DJ D Ommy aondoka Clouds