K88K
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 313
- 655
Umeheshimiwa.Labda nimefilisika kimawazo ila wasanii wa hip-hop wa kizazi hiki hua wahanikoshi kabisa coz ngoma nzima unakuta hakuna mistari ambayo inakuacha na tafakuri nzito tofauti na wale niliokua nawakubali zamani...
Mfano nikikiliza ngoma za Fid q jamaa Alikua anaandikia ngoma flani yenye misemo ambayo inakugusa kinyama.. we kasilikze tu Mwanza mwanza, ielewe mitaa, sumu, fid Q dot com Rudi Hadi Ni hayo tu au propaganda... Wasanii wa sikuhizi hawana ile mistari Ila Ni Visa vingi tu....
Mchukilie mtu Kama Langa jamaa walikua wanaandika Sana yaani anatoa neno linalobamba tz nzima mfano "matawi ya juu" au msikilize Langa kwenye ngoma ya HIP-HOP utampenda. Sikuhizi hip-hop imekua Kama taarabu...
Kiukweli hawanibambi...
Dizasta Ni msimuliaji mzuri lakini Kuna kitu anapungukiwa uandishi wake bado sana compare to malegend wa hip-hop...
Angalau kwenye ngoma ya kanisa alijitahidi
I'm so sorry Ni mtazamo wangu naomba uheshimiwe
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app

